Michezo
Hasheem Thabeet aongea baada ya kuachwa na Pistons
Baada ya kutemwa na Detroit Pistons, Hasheem Thabeet amesema hawezi kukata tamaa.
“I came way too far. and i will keep working. I will not stop,” ameandika kupitia Facebook.
Thabeet alikuwa amesaini deal lisilo na guarentee (a non-guaranteed deal) na Detroit Pristons mnamo Sept. 24, baada ya kuachwa na Philadelphia 76ers, ambao walimchukua kutoka Oklahoma City Thunder Aug. 26.
Thabeet—ambaye alishika namba 2 katika 2009 NBA Draft na kuchukuliwa na Memphis Grizzlies—alikuwa mmoja wanne waliotemwa jana Jumatatu na Pistons. Timu hiyo pia imewaacha Brian Cook, Lorenzo Brown na Josh Bostic.