Michezo

Hasheem Thabeet aongea baada ya kuachwa na Pistons

Baada ya kutemwa na Detroit Pistons, Hasheem Thabeet amesema hawezi kukata tamaa.

NBA: Los Angeles Lakers at Oklahoma City Thunder

“I came way too far. and i will keep working. I will not stop,” ameandika kupitia Facebook.

Thabeet alikuwa amesaini deal lisilo na guarentee (a non-guaranteed deal) na Detroit Pristons mnamo Sept. 24, baada ya kuachwa na Philadelphia 76ers, ambao walimchukua kutoka Oklahoma City Thunder Aug. 26.

Thabeet—ambaye alishika namba 2 katika 2009 NBA Draft na kuchukuliwa na Memphis Grizzlies—alikuwa mmoja wanne waliotemwa jana Jumatatu na Pistons. Timu hiyo pia imewaacha Brian Cook, Lorenzo Brown na Josh Bostic.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents