Burudani
Happy Birthday Mpoto
Leo ni sikukuu ya kuzaliwa ya Msanii na mtunzi wa mashairi maarufu Tanzania, Mrisho Mpoto.
Mpoto amejipatia umaarufu kwa kuwa msanii aliyeleta utofauti katika muziki kwa kuzungumza mashairi yake kwenye nyimbo na kusifika kwa kuwa na nyimbo zinazoielimisha jamii kuhusu mambo mengi nyeti.
Bongo 5 inamtakia Mpoto siku njema na baraka kwa siku za usoni.