Burudani

‘God is Good’ asema VJ Penny baada ya kupata mchongo mnono wa filamu(Picha)

Penny Mungilwa anafuata nyayo za mpinzani wake Wema Sepetu kwenye filamu? Huenda ikawa hivyo sababu ni nini anaweza kukifanya akikaa meza moja na CEO wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephen aka JB?

03bfdbaac1b511e381ad0002c9955dca_8
Penny na JB wakizungumza biashara na raia wa kigeni

Hata hivyo sio JB pekee anayehusika katika mchongo huo, kuna watu wanaonekana kuwa ni raia wa kigeni (ama Watanzania wengi asili ya mataifa mengine) wanaonekana kuamua kuwekeza kwa mastaa hao katika mradi ambao bado haujajulikana

d8132d3cc4dd11e398670002c9db4c12_8
Mkutano wa biashara

“Something very big is coming. Taking things to the next level. Strictly business…stay tuned,” ameandika JB kwenye akaunti yake ya Instagram.

e725a020c4dd11e39d910002c99c486e_8
Penny (wa pili kutoka kushoto), wait a minute… huo mkono alioubusu ni wa nani?

Naye Penny aliandika: Money making moments… Cc @jerusalemfilmco God is good.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents