Burudani

Gabrielle Union na Dwyane Wade watua Tanzania kwaajili ya honeymoon

Muigizaji wa filamu wa Marekani, Gabrielle Union na mchezaji wa NBA, Dwyane Wade waliofunga ndoa hivi karibuni, wametua Tanzania kwaajili ya honeymoon.

gabu

Mastaa hao waliofunga ndoa Aug. 30, wamekuwa wakishare picha kwenye mtandao wa Instagram zinazonesha bata wanazokula kwenye fungate lao katika maeneo mengi duniani. “When the Indian Ocean is ya swimming pool… You dive in! But first… Play that @beyonce baby,” Union, 41, aliandika kwenye Instagram.

Wakiwa Tanzania, jana wawili hao walitembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti na kupiga picha na wamasai kadhaa.

“Pure joy! Life on the Serengeti… #Tanzania #Masai #2ndLeg … I emoji️ the photographer #BrianFellows,” ameandika Union kwenye picha hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents