Habari

Flaviana Matata kushiriki kwenye Tangazo la vivutio vya Tanzania litakalorushwa na CNN America na BBC World

Mwanamitindo wa Tanzania aishiye na kufanya shughuli zake nchini Marekani, Flaviana Matata ataonekana kwenye tangazo la TV la vivutio vya Tanzania, ambalo linatarajiwa kurushwa kupitia vituo vya Televisheni vikubwa duniani, CNN na BBC.

flaviana_matata

Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kupitia Twitter.

matata

“Flaviana Matata kushiriki Tangazo la vivutio vya Tanzania litakalorushwa CNN America na BBC World”

Flavianna Matata amepost tweet hiyo kwenye akaunti yake ya Instagram na kuandika:

“God’s time is the best time #ProudlyTanzanian.”

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents