Bongo Movie

filamu ya Machweo, kuzindulia New Maisha Club

preess2

Wanamuziki mbalimbali wanatarajia kukutana siku ya juma pili pale New Maisha Club, kwaajili ya uzinduzi wa filamu mpya ya Machweo ambayo inazungumzia maisha ya wasanii.

Katika usiku pia mwanamuziki Fid Q, anarajia kuperform kwa wimbo wake wa Ielewe mitaa, huku wasanii wengine nao wakionyesha uwezo wao.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents