Picha

Exclusive Photos: Behind the scenes za video mpya ya Farida ‘Mapenzi’

Mwanadada Farida ambaye kwa muda mrefu alikuwa kimya, hivi karibuni ameshoot video ya wimbo wake mpya, ‘Mapenzi’. Video hiyo imefanyika jijini Mwanza na kampuni ya One Love Videos chini ya muongozaji, Hyper. Hizi ni baadhi ya picha za shooting ya video hiyo.

Farida na model
Farida na model
Shooting ikiendelea
Shooting ikiendelea
Director Hyper akiwa kazini
Director Hyper akiwa kazini
Farida akiwa na model wa video hiyo
Farida akiwa na model wa video hiyo
Farida
Farida
Neema akimpamba dada yake Farida
Neema akimpamba dada yake Farida
Mdogo wake Farida (Neema) ambaye pia ni meneja wake akihusika kuwapamba
Mdogo wake Farida (Neema) ambaye pia ni meneja wake akihusika kuwapamba
Model
Model

10p

Farida kwenye pozi
Farida kwenye pozi
Location ya beach (Ziwa Victoria)
Location ya beach (Ziwa Victoria)

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents