Burudani
Exclusive: Mambo 3 usiyoyajua kuhusu Avril (Video)
Muimbaji wa Kenya, Avril amekuja nchini kuungana na Ben Pol katika ziara ya kuutambulisha wimbo wao ‘Ningefanyaje.’ Pamoja na ziara hiyo, Avril ameshoot video ya wimbo aliomshirikisha AY inayoongozwa na Hanscana. Haya ni mambo matatu usiyoyajua kuhusu msanii huyo.