Habari

Europa Cup: Lingard na Pogba washangilia ushindi kwa dab (Picha)

Manchester United imepata ushindi katika mechi ya Europa Cup dhidi ya klabu ya Fenerbahce kwa mabao 4-1.

39902ce600000578-3856626-image-a-11_1476995070902

Paul Pogba alifunga mabao mawili huku Jesse Lingard akifunga goli la nne. Baadaye walionesha furaha yao ya kuifungia Man United kwa kudab. Angalia picha zao zilizosambaa kwenye mitandao.

nintchdbpict000276221347

nintchdbpict000276222418

nintchdbpict000276219947

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents