Burudani

EFM yapata leseni kamili ya kurusha matangazo jijini Dar

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA, Ijumaa hii imetoa leseni rasmi kwa kituo cha redio cha EFM kurusha matangazo katika jiji la Dar es Salaam.

915679_1455743951350206_1365026083_n
Studio za EFM

Kupitia Instagram , mmoja wa wakurugenzi wa redio hiyo, DJ Majay amepost picha ya leseni hiyo na kuandika.

Thanx Tcra,watanzania na wadau wote wa tasnia ya habari na burudani nchini kwa kusapot na kuwezesha kufanikiwa kupata leseni kamili ya matangazo ya E-fm Dsm..ahadi yetu kwenu ni kuwapa kile mnachokihitaji na kuwaondolea stress za siku nyingi…thanx,.

10544203_316398678520698_763191323_n
Hadi sasa EFM ni redio inayosikilizwa na watu wengi jijini Dar es Salaam.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents