Burudani

EBSS: Linias Mhaya ayaaga mashindano

Madam Ritha akitoa maoni yake juu ya mshiriki aliyekua juu ya jukwaa

Jumapili ya tarehe 15, October 2012 mshiriki mmoja wa EBSS, Linias Mhaya
aliyaaga mashindano na hivyo kubaki washiriki tisa tu.

Washiriki tisa waliobakia wamegawanywa katika makundi matatu na kila Jaji kapewa washiriki
watatu watakaokuwa chini ya usimamizi wake, majaji wanatakiwa kuwapa
maelekezo kuhusu kuimba na kuwachagulia nyimbo za kuimba.

Godfrey Kato akiingia katika jukwaa
Husna Nassor akiimba jukwaani
Menynah Atick akiimba mbele ya majaji na watazamaji
Salma Yusuph akipiga gitaa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents