Burudani

Drake aachia nyimbo 3 mpya siku moja baada ya Bday yake (Audio)

Siku moja baada ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa October 24, Drake ambaye ametimiza miaka 28 ameachia ngoma tatu mpya kwa mpigo.

drizzy

Drizzy ameachia nyimbo hizo kupitia website yake ya OvoSound pamoja na akaunti yake ya SoundCloud October 25.

Majina ya ngoma hizo ni ‘6 God’, ‘Heat of the Moment’ pamoja na ile iliyovuja hivi karibuni ‘How Bout Now’.

http://youtu.be/KwmU3ogh6Pg

http://youtu.be/LYttd7wd1cg

http://youtu.be/jFTHuKbc3OU

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents