Burudani

Diamond, Mwana FA na Alikiba waongoza chart ya Mkito ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi

Diamond Platnumz, Mwana FA na Alikiba ndio wasanii ambao nyimbo zao zimepakuliwa zaidi kwenye mtandao wa Mkito.

Mwana FA na Alikiba

Hizi ni nyimbo 10 zilizoongoza kwenye orodha hiyo ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa mtandao huo.

1.Diamond – Ntampata Wapi
2.Mwana FA f/ AliKiba – Kiboko Yangu
3.Yamoto Band – Ntakupwelepweta
4.Alikiba – Mwana
5.Joh Makini – XO
6.Young Killer f/ Fid Q – 13
7.Vanessa & Barnaba – Siri
8.Yamoto Band – Niseme
9.Roma – Mwanakondoo
10.Diamond Platnumz – Kisa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents