Diamond Platnumz

Diamond atwaa tuzo nyingine ya Afrika (Video)

Wiki moja tu baada ya kushinda tuzo ya mtumbuizaji bora wa Afrika kwenye MTV MAMA, Diamond Platnumz ameshinda tuzo nyingine kubwa ya Afrika.

Usiku wa jana, Diamond alishinda tuzo ya Msanii wa Afrika wa Mwaka kwenye hafla ya tuzo za African Achievers Awards 2015 zilizofanyika Afrika Kusini.

10844180_822164274545595_1778078662_n

“Thanks God for keep Blessing my Hustle….AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR #AfricanAchieversAwards2015 (Shukran Nyingi ziwafikie Uongozi wangu kwa kuhakikisha unanisimamia ipaswavyo, Mama yangu kipenzi Sandrah, My beautiful Baby @zarithebosslady , Media zote, na Mashabiki zangu pendwa kwa kuendelea Kunisuport bega kwa bega,” ameandika Diamond kwenye Instagram.

“Pia Nimpongeze Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa Kushinda katika Tunzo hizi za #AfricanAchieversAwards2015 leo kama Kiongozi Bora wa Africa…. #MsaniiBoraAfrica #KiongoziBoraWaAfrica.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents