Burudani
D’Banj awa balozi wa Apple/Beats By Dre wa Afrika, kuja na earphone zake
Mwanamuziki D’Banj wa Nigeria amekula shavu la kuwa balozi wa Apple/Beats By Dre wa Afrika.
Apple/Beats By Dre imetangaza kuwa imesaini mkataba na mwanamuziki huyo kuwa balozi wa brand yao.
Kupitia Instagram D’Banj pia aliandika:
Licha ya kuwa balozi D’Banj pia atapata earphones zake (customized earphones) zitakazozinduliwa December,2014.