Burudani

D’Banj awa balozi wa Apple/Beats By Dre wa Afrika, kuja na earphone zake

Mwanamuziki D’Banj wa Nigeria amekula shavu la kuwa balozi wa Apple/Beats By Dre wa Afrika.

d-1

Apple/Beats By Dre imetangaza kuwa imesaini mkataba na mwanamuziki huyo kuwa balozi wa brand yao.

d-2

Kupitia Instagram D’Banj pia aliandika:

dd

Licha ya kuwa balozi D’Banj pia atapata earphones zake (customized earphones) zitakazozinduliwa December,2014.

d-4

d-3

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents