Michezo

David Beckham amepewa tuzo ya Legend of Football

Mchezaji mkongwe wa soka duniani David Beckham ambaye pia aliwahi kuwa nahodha wa England amedhihirisha kuwa alitumia vyema nafasi yake akiwa uwanjani na kujenga jina na heshima kwenye soka ambayo itamfanya akumbukwe duniani.

Beckham 2

Beckham ambaye alizichezea klabu za Manchester United na Real Madrid,Ac Millan,PSG ametunikiwa tuzo ya heshima kama ishara ya kuutambua mchango wake kwenye soka duniani.

2BE258EB00000578-0-image-a-3_1441137700174

Tuzo hizo za 20 ambazo hujulikana kama Legend of Football Award alipewa na wanachama wa kamati ya Football Extravaganza na alipewa katika ukumbi wa The Grosvenor House London usiku wa Septemba 1.

2BE2BA0A00000578-3218853-image-a-51_1441140484174

Tuzo hiyo pia wamewahi kupata watu mbali mbali kwenye list hiyo chini.

Bechkam

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents