Habari

Cristiano Ronaldo achukua tuzo ya mwanasoka bora wa Ulaya

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa amekabidhiwa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Ulaya.

1409261957864_wps_1_epaselect_epa04372610_Por
Christiano Ronaldo baada ya kushinda tuzo

Wachezaji ambao alikuwa akishindanao katika kinyang’anyiro hicho ni mchezaji wa Bayern Munich, kipa Mjerumani Manuel Neuer na winga Mholanzi Arjen Robben pamoja na Ronaldo (katikati) akifurahia baada ya kushinda tuzo hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents