| Lilian atinga fainali FOA |
|
![]() Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la kumsaka kisura wa Afrika, Lilian Mduda, amefanikiwa kuingia kumi bora na atachuana na vimwana wengine kutoka Afrika kwenye fainali hizo zitakazofanyika jijini Lagos Februari 6. Akiongea na waandishi wa habari leo kwenye hoteli ya Southern Sun, Lilian amesema amejiandaa vizuri na anaamini atafanya vyema na kuiletea nchi heshima na, ofkozi kurudi nyumbani na kitita cha Dola 50 000 na mkataba mnono na kampuni ya uanamitindo ya O Models Comments (1)
![]() Write comment
|
Who's been doing what
new user registration, 13:59
![]() | QEEN_NADYA joined our community! Welcome! |
new user registration, 13:51
![]() | ZULFA joined our community! Welcome! |
new user registration, 13:19
![]() | joshi joined our community! Welcome! |
new user registration, 10:30
![]() | kate joined our community! Welcome! |
new user registration, 14:03
![]() | amib joined our community! Welcome! |
new user registration, 13:38
![]() | yassinimtiaz joined our community! Welcome! |
The Weather
Dar es Salaam, , TZNow

Partly Cloudy
25°C, Windchill: 25°C
Wind: 0 kph N
Humidity: 91%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,006 mb steady
Sunrise: 6:27 am
Sunset: 6:35 pm
25°C, Windchill: 25°C
Wind: 0 kph N
Humidity: 91%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,006 mb steady
Sunrise: 6:27 am
Sunset: 6:35 pm
Wed

Sunny
Hi: 32°C, Low: 26°C
Hi: 32°C, Low: 26°C
Thu

Sunny
Hi: 33°C, Low: 26°C
Hi: 33°C, Low: 26°C
Sudoku
|
|



















Otherwise all the best Lilian, tunakutegemea, yes U can!!!1