| Cannavaro, Nizar waenda Canada |
|
![]() Wachezaji wawili wa Taifa Stars, Nadir Haroub 'Cannavaro' wa Yanga na Nizar Khalfan wa Moro United wanaondoka nchini kesho kwenda Canada ambako watajiunga na klabu ya Vancouver Whitecaps Wakiwa huko wataichezea timu hiyo,Julai 9 dhidi ya timu ya Toronto FC ambayo pia inashiriki ligi kuu ya huko. Mkurugenzi wa Kampuni ya LZ Enterprise, Rahim Kangezi (aka Zamunda) alisema alisema kuwa wachezaji wengine wawili, Zahoro Pazi wa Mtibwa Sugar na Abdulrazak Khalfan wa Yanga wataondoka baada ya kukamilika kwa mipango yao.Kangezi alisema kuwa Pazi ataondoka baada ya wiki mbili wakati Abdulrazak ataondoka baada ya mwezi mmoja au miwili kwenda kwenye majaribio nchini Marekani na timu ya Miami FC. Alisema kuwa kufanikishwa kwa safari hiyo kumetokana na kutambua mchango wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kukuza michezo.''Mipango ipo mingi sana na tunaamini, wachezaji wengi watapata nafasi, na kinatachotakiwa sasa ni kufanya bidii ya nguvu na kuweza kufanya vizuri katika majaribio,'' alisema Kangezi. Wachezaji hao walisema kuwa watajitahidi na wanaamini watafanya vizuri katika majaribio ambayo tayari yanaonekana kuwa, 'wamepata timu'.Kwa upande wa Pazi, alisema kuwa kuna barua fulani za mipango yake anazisubiri na akifanikisha hayo, ataondoka kwenda huko. Razak, ambaye ni mdogo wake Nizar anayeichezea Yanga alisema kuwa anaamini nafasi aliyonayo ataitumia vizuri kwani umri wake unamruhusu kufika mbali kisoka na kuwa ngao na tegemeo la taifa.Comments (1)
![]() ![]() written by a guest, July 16, 2009 - 06:43:04
kinachotakiwa hapo nikujitahidi ili waweze kufunguka majaribio na kuingia mkataba. naamini Tanzania tuna wachezaji wengi tu wenye vipaji.
Write comment
|
Who's been doing what
new user registration, 07:11
![]() | chumamoto joined our community! Welcome! |
new user registration, 06:53
![]() | tashu joined our community! Welcome! |
profile update, 00:30
![]() | MTU PORI updated their profile photo. |
profile update, 16:59
![]() | helenaa updated their profile photo. |
new user registration, 14:29
![]() | markone joined our community! Welcome! |
new user registration, 13:52
![]() | semhando joined our community! Welcome! |
new user registration, 13:33
![]() | servasadolph joined our community! Welcome! |
The Weather
Dar es Salaam, , TZNow

Partly Cloudy
32°C, Windchill: 32°C
Wind: 27 kph N
Humidity: 65%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,005 mb steady
Sunrise: 6:28 am
Sunset: 6:37 pm
32°C, Windchill: 32°C
Wind: 27 kph N
Humidity: 65%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,005 mb steady
Sunrise: 6:28 am
Sunset: 6:37 pm
Sat

Sunny
Hi: 33°C, Low: 27°C
Hi: 33°C, Low: 27°C
Sun

Partly Cloudy
Hi: 33°C, Low: 27°C
Hi: 33°C, Low: 27°C
Sudoku
|
othman shouts: Gaucho nimekumiza nini kaka?nasikitishwa sana na muafrica wewe kunita mie ni mtu mmbaya sana !!naka |














