Wed 10 Mar 2010
Sasa habari zinapatikana kwa kiingereza na kiswahili, chagua lugha upendayo hapo juu
Cannavaro, Nizar waenda Canada E-mail
Cannavaro, Nizar waenda Canada
Wachezaji wawili wa Taifa Stars, Nadir Haroub 'Cannavaro' wa Yanga na Nizar Khalfan wa Moro United wanaondoka nchini kesho kwenda Canada ambako watajiunga na klabu ya Vancouver Whitecaps

Wakiwa huko wataichezea timu hiyo,Julai 9 dhidi ya timu ya Toronto FC ambayo pia inashiriki ligi kuu ya huko.

Mkurugenzi wa Kampuni ya LZ Enterprise, Rahim Kangezi (aka Zamunda) alisema alisema kuwa wachezaji wengine wawili, Zahoro Pazi wa Mtibwa Sugar na Abdulrazak Khalfan wa Yanga wataondoka baada ya kukamilika kwa mipango yao.

Kangezi alisema kuwa Pazi ataondoka baada ya wiki mbili wakati Abdulrazak ataondoka baada ya mwezi mmoja au miwili kwenda kwenye majaribio nchini Marekani na timu ya Miami FC.

Alisema kuwa kufanikishwa kwa safari hiyo kumetokana na kutambua mchango wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kukuza michezo.

''Mipango ipo mingi sana na tunaamini, wachezaji wengi watapata nafasi, na kinatachotakiwa sasa ni kufanya bidii ya nguvu na kuweza kufanya vizuri katika majaribio,'' alisema Kangezi.

Wachezaji hao walisema kuwa watajitahidi na wanaamini watafanya vizuri katika majaribio ambayo tayari yanaonekana kuwa, 'wamepata timu'.

Kwa upande wa Pazi, alisema kuwa kuna barua fulani za mipango yake anazisubiri na akifanikisha hayo, ataondoka kwenda huko.

Razak, ambaye ni mdogo wake Nizar anayeichezea Yanga alisema kuwa anaamini nafasi aliyonayo ataitumia vizuri kwani umri wake unamruhusu kufika mbali kisoka na kuwa ngao na tegemeo la taifa.
Comments (1)Add Comment
...
written by a guest, July 16, 2009 - 06:43:04
kinachotakiwa hapo nikujitahidi ili waweze kufunguka majaribio na kuingia mkataba. naamini Tanzania tuna wachezaji wengi tu wenye vipaji.

Write comment
quote
bold
italicize
underline
strike
url
image
quote
quote
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley
Smiley

busy
Tag it:
Delicious
Furl it!
Spurl
NewsVine
Reddit
YahooMyWeb
Digg
blogmarks
feedmelinks
co.mments
 

Who's been doing what

10 March, 2010
profile update, 04:14
ochu othman updated their profile.


new profile gallery upload, 01:04
ochu othman added new photos to their profile.
oh
mh
my ex
my gal
my booo

profile update, 00:30
AfriicanAngel updated their profile.

9 March, 2010
new user registration, 23:16
ochu othman joined our community! Welcome!

new user registration, 20:48
kasaka joined our community! Welcome!

profile update, 19:24
tytydydy updated their profile.

new user registration, 19:12
xaver joined our community! Welcome!

new user registration, 15:50
nyamundhe joined our community! Welcome!

new user registration, 14:43
MOGAS joined our community! Welcome!

The Weather

Dar es Salaam, , TZ

Now
Partly Cloudy
26°C, Windchill: 26°C
Wind: 0 kph N
Humidity: 96%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,009 mb steady
Sunrise: 6:28 am
Sunset: 6:38 pm
Wed
Clear
Hi: 32°C, Low: 27°C
Thu
Sunny
Hi: 33°C, Low: 27°C

Sudoku

othman shouts:
Gaucho nimekumiza nini kaka?nasikitishwa sana na muafrica wewe kunita mie ni mtu mmbaya sana !!naka

Latest Members Pics

 

Latest Songs

Not a Flirt
K-Lynn ft Hermy B
Ulinikuta
Klex ft Stone
Chupa Nyingine
Mchizi Mox
Shikide
Dully Sykes
Nimetoka Mbali
Jaguar ft. AY

Latest Videos

We have 50 guests online and 1 member online
ochu othman
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
total 25688 registered
female 6287 female
male 19288 male
month 20 new this month
New: ochu othman