| Hongera Hasheem!! |
|
![]() Usiku wa kuamkia leo nyota wetu wa mpira wa kikapu, Hasheem Thabeet, amechagulia kucheza na timu ya Memphis Grizzlies baada ya kuibuka chaguo la pili katika NBA Draft Hasheem ataingia mkataba wa miaka mitatu na timu hio na kulipwa jumla ya dola milioni 12 (bilioni 15 za kibongo) katika muda huo. Kwa kweli huu ni mfano wa kuigwa, yeye binafsi anasema alivoenda Marekani hakutegemea kufika mbali hivyo, lakini baada ya kuijiamini na kufanya kazi kwa bidii ameweza kufanikisha ndoto zake. Tunamtakia kila la kheri na mafanikio mengi zaidi katika NBA na maisha yake kwa ujumla. Comments (26)
![]() ![]() written by a guest, June 26, 2009 - 13:59:22
kudadadeki bil 15,mtoto si ndio basi tena mchezo wake mmoja tu anarudi bongo kula bata ndefuuuuuuu sana sana sanaaaaa
![]() written by a guest, June 26, 2009 - 15:36:48
Nice 1 Dude, wishing u all the best..u need to toughen up lil bit. RJ
![]() written by a guest, June 26, 2009 - 18:33:14
da big up sana maen and aaam so happy for him goodluck mate!
![]() written by a guest, June 27, 2009 - 12:39:09
big up hasheem naona umaskini ndo kwaheri mkuu usitusahau kaka watu wa bongo God bless u dairy
![]() written by a guest, June 27, 2009 - 14:42:58
What an inspiration to young Tanzanians! That's all what is needed: Hard & smart work, courage & determination. Congrats and keep it up bro. William Maseke
...
written by Njelemela, June 27, 2009 - 15:25:55
Unakaribishwa kwenye uwanja wako wa nyumbani Memphis "FEDEXFORUM' uonyesha uwezo wako. Kumbuka michezo nchi hizi ni kujituma kwa sana tu si kama michezo yetu ya kibongo ya tunakocheza kwa mtindo wa ridhaa bora nimepata namba
![]() written by a guest, June 27, 2009 - 15:59:10
yeah,imetulia mno,angalau sasa tutakuwa kifua mbele kuwa tumo kwenye mchezo huo,yaani,kwa kuanzia nimeshahamia kwenye timu yako,uungwana kwanza.bado akina nanihii nao. kila la heri !
![]() written by a guest, June 28, 2009 - 14:33:22
jitahidi usifuata sifa za kijinga .kama wachezaji wa mpira wa miguu nchini tanzania hanswayne from johannesburg
![]() written by a guest, June 28, 2009 - 19:38:14
mkuuu safi sana jitahidi mungu atakusaidia! ahmed hamdan
![]() written by a guest, June 29, 2009 - 17:47:45
BIG UP HASHEEM I WISH I COULD PLAY AS YOU.
KELVIN OBIGA. ...
written by jakey baby, June 30, 2009 - 18:05:46
i am going to miss the best king of pop ... R.I.P micheal ...ur safe and ur at peace ....
![]() written by a guest, July 02, 2009 - 09:39:17
mambo ni noma bro! yaani huku watu walikula bata waliposikia kachaguliwa! haijalishi katokea mkoa gani tanzania ni tanzani tuuuuuuuuuuuuu!
mokili in china ![]() written by a guest, July 07, 2009 - 18:52:42 I wish ya all the best. For the first time in my life to see and hear a Tanzanian plays at NBA. PLEASE GUYS FORM SOCCER PULL UP UR HEADS. GOD BLESS TANZANIA AND HASHEEEM. ![]() written by a guest, July 07, 2009 - 20:20:43
BWANA YAANI HAPO MZEE KAUCHINJA YAANI DUNIANI SAFI ILA BADO HUKO AKHERA TUU AFANYE KWELI NAKO ACHA STAREHE KIJANA FOCUS MBELE KIMAFANIKIO
![]() written by a guest, July 08, 2009 - 19:35:20
Ebwana mkubwa kaza buti mwana ule bata tu ukirudi bongo kuna nini tena neema si ndo hiyo mwana ..ila ukirudi bongo angalia mana wauza vocha wa kumwaga wasije wakakupoteza.. big up mkubwa
![]() written by a guest, July 09, 2009 - 06:52:31
ebwana mkubwa kaza buti maana mambo mazuri bado yanakuja.Nadhani baada ya miaka mitatu mafisadi hawafuati
![]() written by a guest, July 16, 2009 - 06:46:55
Nampa bi up saana tu, maisha ndio hayo. billion 15 si mchezo.
Write comment
|
Who's been doing what
status update, 21:21
![]() | kiggy nothing much |
new user registration, 18:49
![]() | helenaa joined our community! Welcome! |
profile update, 17:21
![]() | bonanne updated their profile photo. |
new user registration, 17:19
![]() | jarn joined our community! Welcome! |
new user registration, 16:51
![]() | sanasa1980 joined our community! Welcome! |
profile update, 16:22
![]() | tytydydy updated their profile photo. |
profile update, 14:32
| simon mzava updated their profile. |
new user registration, 13:07
![]() | nduyes@yahoo.com joined our community! Welcome! |
new user registration, 12:56
![]() | Tichi joined our community! Welcome! |
The Weather
Dar es Salaam, , TZNow

Partly Cloudy
27°C, Windchill: 27°C
Wind: 19 kph N
Humidity: 87%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,006 mb steady
Sunrise: 6:28 am
Sunset: 6:38 pm
27°C, Windchill: 27°C
Wind: 19 kph N
Humidity: 87%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,006 mb steady
Sunrise: 6:28 am
Sunset: 6:38 pm
Fri

Clear
Hi: 33°C, Low: 27°C
Hi: 33°C, Low: 27°C
Sat

Sunny
Hi: 33°C, Low: 27°C
Hi: 33°C, Low: 27°C
Sudoku
|
othman shouts: Gaucho nimekumiza nini kaka?nasikitishwa sana na muafrica wewe kunita mie ni mtu mmbaya sana !!naka |
Latest Songs
| 25704 registered | |
| 6292 female | |
| 19299 male | |
| 36 new this month | |
| New: helenaa |
















