SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register





Tabata Dampo Kimenuka tena PDF Print E-mail
Friday, 27 June 2008

Watu wanaodhaniwa kuwa wakazi waliokuwa wakiishi katika eneo la Tabata Dampo jijini Dar es Salaam na watumishi wa kampuni inayodaiwa kuwa ni ya mmiliki wa eneo hilo, Alied Cargo wamefikishana polisi baada ya wamiliki hao kudaiwa kuvamia eneo hilo ikitaka kuweka uzio kwa ajili ya ulinzi.

Hatua ya kufikishana polisi imetokea kufuatia vurugu zilizotokea baina ya wakazi hao na wafanyakazi hao wa Alied Cargo baada ya watu hao kuwakuta wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiweka uzio katika eneo hilo.

Kwa upande wake meneja wa Alied Cargo amedai kuwa baada ya kuona wakazi hao wamehama katika eneo hilo walipeleka madai ya kumiliki eneo hilo kwa manispaa ya Ilala kwani wana nyaraka zinazowathibitisha kuwa wao ndio wamiliki halali wa eneo hilo.

 

 

 

 

 

 

Tag it:
Delicious
Furl it!
Spurl
NewsVine
Reddit
YahooMyWeb
Digg
blogmarks
feedmelinks
co.mments
Comments
NewSearch
Only registered users can write comments!

 
< Prev   Next >
Total Members
total 19501 registered
female 4850 female
male 14569 male
month 98 new this month
New: carter
Who's Online Now
We have 11 guests online and 3 members online
afrgal mimina8 narumba
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com