SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register

(Mini-MP3-Player v2.2 (c) Ute Jacobi - unregistered version - Only Free for NonCommercial Website)
Masela Wote - K-Lex Man PDF Print E-mail

K-Lex Man

Sikiliza mpini "Masela Wote" 

K-Lex Man A.K.A Ting Pung atoka na songi liitwalo Masela Wote featuring mkali wa miondoko laini PNC. Kazi imefanyika ndani ya Baucha Records jijini Dar es Salaam.

Alipoulizwa background yake K-Lex Man alisema "kuhusu mimi maskani yangu kabisa Mwanza, lakini kwa sasa naishi Kinondoni na bado nakomaa kimtaa, mziki kama damu toka long time. Kwa masela wote BIG UP!!"

Ukitaka kujua zaidi kuhus K-Lex Man tembelea ukurasa wake hapa http://www.bongo5.com/klex

Tag it:
Delicious
Furl it!
Spurl
NewsVine
Reddit
YahooMyWeb
Digg
blogmarks
feedmelinks
co.mments
Comments
NewSearch
LuckyLuca - Big up!! Thu, 06th Sep 07 - 02:55 pm
Safi sana K!! Kitu kimetulia, sasa tunasubiri video.
brother I - hii imetulia! Fri, 07th Sep 07 - 04:20 am
Hii imekaa mahali pake,mimi na washkaji tumaisikiliza tunaikubali.keep it up!
hb nas Sat, 08th Sep 07 - 02:09 pm
keep it up :twisted: jitaidi kutuwekea nyimbo mpya si unajua tupo mbali ndugu yangu.
hans b - si mchezo bob Mon, 10th Sep 07 - 03:37 pm
baaaaab kubwa mwana limetulia kinoma big up man ....nimekukubali kaka... :D
cliff101 - aibu Thu, 01st Nov 07 - 05:30 am
jamani hata afande ele alishasema sio wote lazima tuwe wasanii haloo wewe k-lex man hebu rudi tuu huko mwanzau ukavue samaki....nyimbo yako lakini pnc amekufunika....wacha kupiga makelele ovyooooooo...ting.ting.ting ndio nini tunataka ujumbe fala wewe...
NAY NAY Thu, 08th Nov 07 - 10:23 am
:D I LOVE THIS KEEP UP THE GREAT WORK
eddiy - TANAHITAJI UJUMBEE Sat, 10th Nov 07 - 03:08 pm
HUNA MPYA KIJANA HAYA AFANDE SALE AMESHASEMA KWENYE DARUBINI AKINA NYIE HAMNA CHA KUIMBA MASEELA SIKU ZOTE HUWA WANATAKA UJUMBE SIO KWENYE CLUB BORA IMBA MAPEZI SIO MASELA RUDI MWANZA KWA AFANDE AKUPE VITU VYA MASELA HUNA MPYA.
bope Sun, 02nd Dec 07 - 08:24 pm
nakubali mwana imetoka
bope Sun, 02nd Dec 07 - 08:25 pm
nakubali imeoka
PindeMshale - FANI NA MAUDHUI Fri, 07th Dec 07 - 12:18 pm
Uzuri wa sanaa ni fani na maudhui.Jitahidini kuzichunguza jamii zina kumbwa na matatizo gani na kuzihamasisha katika ufumbuzi wa matatizo hayo na si TING`INANG`ANG``,Ila ina <img src=hock:' /> pendeza mkuu kaza msuli jibaba!!!
ICE_BOY Sun, 23rd Dec 07 - 09:51 pm
Kukosoa ndio njia nzuri ya kumpa msaani moyo wa kufanya kazi nzuri, lakini kwa watanzania [sisi] tunakosoae ili kuwapotezea dira wenzetu. Huu wimbo upo poa, sio watu wote wanapenda aina fulani ya muziki. kila msanii naamini anafuata personality yake, na sio vile tutakavyo, japo tunaweza kuwahimiza kuboresha kazi zao. Acheni kukandia kazi za wenzenu, toweni mawazo na sio matusi.
basketmouth - BEAT 50% MESSEGER SONG 30% MAU Fri, 28th Dec 07 - 06:28 pm
Whats wrong of this production,this song is good but the way artist who sing that song i think he was not thought before>>duuu ting ting tang what is this?
keep it real man and be serious with ur bussines coz music is a market so withiout to be carefuly u will have lost ur way.
Queen_Bonita - Hi Sat, 23rd Feb 08 - 03:05 am
:whistle :woohoo: This stuff is just hot!!!!Hatanasikia kuting!!
Queen_Bonita - Hi Sat, 23rd Feb 08 - 03:05 am
:whistle :woohoo: This stuff is just hot!!!!Hatanasikia kuting!!
Queen_Bonita - Hi Sat, 23rd Feb 08 - 03:05 am
:whistle :woohoo: This stuff is just hot!!!!Hatanasikia kuting!!
phily Sat, 23rd Feb 08 - 03:28 am
:?: kumbe wewe ni msanii keep it up man don give it up a realy man must go on a weak man fail although failure is not a weakness is a result
don kittey Tue, 26th Feb 08 - 05:02 am
big-up sana man,kip on doing it
ur 4 real mtu wangu.

:evil: man!
don kittey - mzuuuuuuuuka Thu, 20th Mar 08 - 07:59 am
Yeah watsup man kitukimeee ivaaaa mitaani ting ting byeeeee
KATI - balaaaaaa tupu! Sat, 22nd Mar 08 - 02:52 am
haina mpango wowote nyimbo zinaimbwa hivyo nyinyi wa bongo ndio kwanza dunia mnaiona ndio maana kila kitu mnataka kuiga hatima mtaangukia mahali pabaaya . Mmeanza kuuza ardhi zenu kwa wale mlowafukuza na kuwapiga,na sasa mnawaiga mila zao je zenu wanaiga? Kila kijana sasa utamuona anataka kuvaa nguo za aina ya kimarekani na kuimba kama mwimbaji wa marekani hii haioneshi usafi wa Kitanzania, eleweni hawa mnaowaiga kuwa wamepoteza uasili wao na wanashidwa kuurejesha na hatimae wanakuja Africa na kushangaa jinsi watu wa Kiafrica wanavyoishi na hatimae kuona choyo juu ya tabia za kiafrica .Eleweni hivyo kama mnazo akili .
Only registered users can write comments!

 
< Prev
Total Members
total 20237 registered
female 5034 female
male 15121 male
month 234 new this month
New: babas
Who's Online Now
We have 39 guests online and 6 members online
PKJ MaryAnn tokweng Manzil FESKAM babas
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com