SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register

Madinda kuingia School PDF Print E-mail

Aisha MadindaMsichana anayeaminika kuwa na mvuto kuliko mabinti wengi tu hapa jijini na anayesifika kwa kuyakata masebene kwa umahiri wa hali ya juu bi Aisha Madinda, hivi karibuni amefikia uamuzi wa kwenda shule kwa ajili ya kujipatia ujuzi wa ziada pasi na kuitegemea kazi yake hiyo ya unenguaji inayompatia riziki.

Akizungumza na mwandishi wa Bongo5 alipozuka kwenye ofisi hizo Mamaa Madinda alisema “katika maisha kuna leo na kesho sitarajii kuwa mcheza show katika maisha yangu yote na ndio maana naiheshimu sana kazi yangu hii kwani inaniwezesha kupata rasilimali ambazo naamini zitanisaidia hapo baadae kimaisha.

“nimefikia uamuzi wa kwenda shule baada ya kukaa na kufikiria kuwa, iwapo nitachoka kuwa mcheza show ni kazi gani ambayo nitafanya ili kusonga na maisha? Jibu pekee na la karibu lililonijia ni shule kwanza ndio naweza kujua nini la kufanya baada ya hapo” alisema Binti huyu.

Hivi sasa yuko mbio ile mbaya kutafuta chuo kwa ajili ya kujipatia mafunzo ya kompyuta katika levo ya juu na sio viwango vya awali kama wafanyavyo wengi kwani matarajio yake ni kustaafu masuala ya unenguji katika kipindi ambacho washabiki wake watakuwa bado wakimuhitaji “nisingependa kuwa na historia mbaya kwani huko nilikotoka nimekuwa nikijiheshimu sana sasa sitaki kujiharibia”-Madinda.

Source: Bongo5

Error, missing joomlaboard config file!


Bongo5.com brings you the latest news from East Africa at your finger tips. If you have a story you'd like to share please send an email to This e-mail address is being protected from spam bots, you need JavaScript enabled to view it

Comments
Search
grmavura {space} duhhhhhhh!!!!! Mon, 05th Mar 07 - 06:26 am
Ebwana hongera kwa uamuzi uliofikia,lakini sikubaliani na wewe kuhusu swala la
kusoma comp,nenda tafuta masomo mengine wewe comp kila mtu anaijuwa na baada ya
muda haita kuwa na soko,ok?anyway niuamuzi mzuri lakini.
tatu {space} {title} Tue, 06th Mar 07 - 10:17 am
tatu {space} {title} Thu, 08th Mar 07 - 01:43 pm
we kama vipi uendelee 2 na biashara ya kupiga picha za u.....
brother I {space} {title} Thu, 28th Jun 07 - 04:04 pm
nanyie kwa kusifia hovyo,binti mwenye mvuto wapi mikorogo mpak
machoni.hamjawaonaga wtoto nini hapo dar?jaribu kusimama samora avenue sikumoja
uone.
nahuko chuoni anaenda ku-disturb tu analolote.labda elimu ya watu wazima
Only registered users can write comments!

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

Tag it:
Delicious
Furl it!
Spurl
NewsVine
Reddit
YahooMyWeb
Digg
blogmarks
feedmelinks
co.mments
 
< Prev   Next >
Total Members
total 21215 registered
female 5270 female
male 15865 male
month 20 new this month
New: kelly31
Who's Online Now
We have 39 guests online and 12 members online
swejacky Amiry said salehe moody x Tito Chamillionaire Danielita Jozeedaking kalila kindgirl Tukwa kelly31
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com