Sun 21 Mar 2010
Sasa habari zinapatikana kwa kiingereza na kiswahili, chagua lugha upendayo hapo juu
TID amvisha pete mchumba
Thursday, 18 February 2010
Image
Katika usiku ya wapendanao maarufu kama ‘Valentine Day’ yule jamaaa anayemiliki bendi ya TOP BAND anayetambulika kama TID aliweza kuweka wazi kabisaa lile penzi lake alilokuwa nalo kwa binti mmoja hivi anayefahamika kwa jina la “KINANA”
 
Fashion for Education
Thursday, 18 February 2010
Image
Image
Mbunifu wa Mitindo, Ally Rehmtullah akizungumza katika uzinduzi wa Kampeni ya Kuchangia Mfuko wa Elimu wa Wilaya ya Kisarawe. Wa kwanza kulia ni Prof. Emmanuel Bavu ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya Harambee Kisarawe, wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Bi. Khanifa Karamagi pamoja na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Mwantumu Bakari Mahiza.
 
Staili 3 inakuja upya
Thursday, 11 February 2010
Image
Ndogondogo kutoka kwa mkali wa mistari kutoka Arusha, Stop the Rhymecca zanasema kwamba jamaa ameachia Video nyingine ya wimbo wake unaotamba wa Staili 3. Kazi imefanywa Arusha na imeanza kusambazwa kwenye vituo mbalimbali vya televisheni wiki hii. Kwa mujibu wa Stopa mwenyewe, Video ya kwanza ilifanywa haraka kutokana na maombi ya mashabiki na sasa, baada ya kutulia na kujipanga vizuri, amezidisha ubora wa video hiyo na ana uhakika itakamata vizuri kwenye burudani
 
Belle 9 aja tena
Thursday, 11 February 2010
Image
Mwanamuziki ambaye hana muda sana kwenye gemu lakini aliyeleta usumbufu wa hali ya juu kwenye uwanja wetu wa Bongo fleva, Belle 9, anazidi kufanya vyema na sasa amekaa vizuri kwenye kibao chake kipya cha 'We ni wangu" ambacho amemshirikisha Mr Blue. Belle 9 anasema hiy ni ngoma kali zaidi kwenye 'Club' na ni moja ya zawadi yake kwa mashabiki wake wanaofagilia kula bata zaidi
 
Redds na Mwonekano Mpya
Monday, 08 February 2010
Image
Baada ya kuzindua kwa mafanikio mwonekano mpya wa Chupa ya Ndovu mwishoni mwa mwaka jana, Kampuni ya bia ya Tanzania Breweries imechukua hatua pana zaidi kuzindua mwonekano mpya wa chupa ya Redds Premium Apple Cider jioni ya Alhamisi tarehe 4 mwezi wa pili mwaka 2010..
 
Lionel Richie kutua Uganda
Friday, 22 January 2010
Image
Ushindani wa makampuni ya simu huko Uganda unaonekana kuwafaidisha wapenda muziki kwani akimaliza R.Kelly mwishoni mwa mwezi huu, anadondoka mzee mzima Lionel Richie. R. kelly analetwa na kampuni ya Zain wakati mpango mzima wa Richie unafanywa na MTN Uganda. Mapromota wa Bongo pigeni ndogondogo basi jamaa wafike mpaka huku
 
<< Mwanzo < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > Mwisho >>

Who's been doing what


profile update, 21:05
ommy name updated their profile photo.

new user registration, 19:29
kibaskeli joined our community! Welcome!

status update, 19:22
thug life bitch watch me rolling

profile update, 18:07
@shickland updated their profile.

profile update, 16:04
Bongo updated their profile photo.

new user registration, 15:58
moenakoo joined our community! Welcome!

profile update, 15:55
MwanaAppolo updated their profile.

profile update, 15:32
mtotomzuri updated their profile.

status update, 12:08
mtotomzuri iam watching the news

The Weather

Dar es Salaam, , TZ

Now
Partly Cloudy
26°C, Windchill: 26°C
Wind: 0 kph N
Humidity: 96%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,006 mb steady
Sunrise: 6:27 am
Sunset: 6:33 pm
Mon
Scattered Thunderstorms
Hi: 32°C, Low: 26°C
Tue
Scattered Thunderstorms
Hi: 32°C, Low: 26°C

Sudoku

othman shouts:
Simba Simba ndio nini nani anayijuwa Simba lete habari za Maulaya sio Africa?

Picha Mpya za WanaB5!

 

Latest Songs

Not a Flirt
K-Lynn ft Hermy B
Ulinikuta
Klex ft Stone
Chupa Nyingine
Mchizi Mox
Shikide
Dully Sykes
Nimetoka Mbali
Jaguar ft. AY

Latest Videos

We have 8 guests online

Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
total 25746 wanachama
female 6301 female
male 19332 male
month 78 mwezi huu
Mpya: kibaskeli