Thu 11 Mar 2010
Sasa habari zinapatikana kwa kiingereza na kiswahili, chagua lugha upendayo hapo juu
Nani mrefu zaidi?
Monday, 11 January 2010
Joti na Soggy
Nani mrefu kati ya galacha wa hip hop nchini Anselm Ngaiza aka 'Soggy Doggy Anter' na staa wa Orijino Komedi Lucas Mhuvile aka 'Joti'?
 
Saigon atoa Somo
Monday, 11 January 2010
Image
Mwanamuziki na mdau mkubwa wa mzuki wa hip hop, Saigon, ameachia ngoma ya kufungua mwaka inayokwenda kwa jina la 'Soma' iliyotengenezwa kwenye studio za Tongwe Records na prodyuza J Ryder. Kwa mujibu wa Saigon, ametoa ngoma hiyo kuwahamasisha watanzania, hasa vijana kujijengea utaratibu wa kusoma ili kuondokana na ujinga. Huo ni mwanzo tu kwa Saigon kwani kwa sasa yuko kwenye harakati ya kutoa albamu yake atakayoifanya kwenye studio tofauti
 
Lady JD aporwa
Monday, 11 January 2010
Image
Habari za kusikitisha zilizofika dawatini ni kuporwa kwa mkoba wa mwanamuziki Lady JD. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea usiku kwenye uwanja wa taifa wakati timu ya soka ya taifa ilipomenyana na Ivory Coast kwenye mechi ya kirafiki. Ishu ilikuwa wakati akitoka akiwa na marafiki zake, miongoni akiwepo mlinda mlango maarufu wa Simba, Juma Kaseja ambapo inadaiwa kundi la vibaka wakiwa na bisibisi na mapanga liliwavamia wakati wakielekea kwenye maegesho ya magari na kupora mkoba huo. Haijafahamika bado thamani ya vitu vilivyokuwemo ndani 'kipima joto' hicho
 
Mpenzi mpya wa Rihanna
Monday, 11 January 2010

Image
Rihanna ameonekana na mpenzi mpya wakati wa sikukuu ya mwaka mpya Dubai na Mexico. Jamaa anaitwa Matt Kemp na anacheza mpira wa magongo Marekani akiwa na timu ya L.A Dodgers. Picha zinawaonyesha wakiwa kwenye mahaba mazito. Chris Brown alitumia mikono kumtwanga Rihanna kwa sababu ndiyo anatumia zaidi akiwa stejini, sasa jamaa anatumia magongo uwanjani. Sijui itakuwaje ikitokea mikorogano

Image

 
Togo yajitoa CAN2010
Monday, 11 January 2010
Image
Kufuatia shambulio lililopelekea kupoteza maisha ya wachezaji 2, dereve wa basi, kocha msaidizi na afisa habari huko mjini Cibanda, timu ya taifa ya Togo haitashiriki kwenye michuano ya kombe la mataifa ya Afrika pamoja na kuimarishwa ulinzi. Rais Faure Gnassingbe alituma ndege ya Rais kuwachukua wachezaji hao ambao awali walikubaliana kucheza kwenye michuano hiyo kwa heshima ya wenzao waliofariki. Washabiki wa mpira watakosa manjonjo ya Adebayo waliyokuwa wakitegemea kuyapata
 
Angola waanza vibaya
Monday, 11 January 2010
Image
Wenyeji wa michuano ya soka kwa mataifa ya Afrika, Angola, jana walishindwa kuamini macho yao kwenye ufunguzi wa michuano hiyo baada ya Mali kurudisha magoli 4 ndani ya dakika 11 za mwisho za mchezo huo. Mpaka dakika ya 79, Angola walikuwa mbele kwa magoli 4-0. Juhudi zilizofanywa na wachezaji wa Mali wakiongozwa na mshambuliaji wao anayechezea Sevilla, Steven kanoute zilizaa matunda baada kuongeza mashambulizi na kufanikiwa kurudisha magoli yote 4 na kuufanye mchezo huo uishe kwa sare
 
<< Mwanzo < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > Mwisho >>

Who's been doing what

11 March, 2010
profile update, 05:21
D_MAM_07 updated their profile.

new user registration, 02:08
D_MAM_07 joined our community! Welcome!

new friendship
LuckyLuca is now friends with D_MAM_07
Other recent friends of LuckyLuca

10 March, 2010
new user registration, 18:18
ndembezi joined our community! Welcome!

profile update, 17:44
ghettoprince updated their profile photo.

new user registration, 15:46
pice23 joined our community! Welcome!

new user registration, 15:28
msita joined our community! Welcome!

new user registration, 15:18
baba100babu joined our community! Welcome!

new user registration, 13:27
Eslynera joined our community! Welcome!

new user registration, 13:25
tom medy joined our community! Welcome!

The Weather

Dar es Salaam, , TZ

Now
Partly Cloudy
26°C, Windchill: 26°C
Wind: 0 kph N
Humidity: 95%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,010 mb steady
Sunrise: 6:28 am
Sunset: 6:38 pm
Thu
Clear
Hi: 33°C, Low: 27°C
Fri
Sunny
Hi: 33°C, Low: 27°C

Sudoku

othman shouts:
Gaucho nimekumiza nini kaka?nasikitishwa sana na muafrica wewe kunita mie ni mtu mmbaya sana !!naka

Picha Mpya za WanaB5!

 

Latest Songs

Not a Flirt
K-Lynn ft Hermy B
Ulinikuta
Klex ft Stone
Chupa Nyingine
Mchizi Mox
Shikide
Dully Sykes
Nimetoka Mbali
Jaguar ft. AY

Latest Videos

We have 12 guests online

Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
total 25695 wanachama
female 6290 female
male 19292 male
month 27 mwezi huu
Mpya: D_MAM_07