Sat 13 Mar 2010
Sasa habari zinapatikana kwa kiingereza na kiswahili, chagua lugha upendayo hapo juu
Qchillah matatani na kesi ya wizi!!
Saturday, 18 February 2006
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Abubakar Shaaban Katwila ’Q-Chillah’,siku ya jana alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akikabiliwa na tuhurna za wizi.

 
Suma G akutana na MB Dogg feki
Saturday, 18 February 2006
Msanii Suma G ambaye taarifa za kinoko zinamuelezea kama mkataji monde(Beer) maarufu miongoni mwa wasanii,amewashauri wasanii maarufu ambao hawajatoa video hata moja kwa sasa wafanye hivyo haraka ili kuepukana na matapeli wanaowaibia kazi zao.
 
Flava za BoNgO + USWISI
Saturday, 18 February 2006
Kwa mara ya kwanza ktk historia ya muziki wa kizazi kipya nchini,Wizara ya mambo ya nje ya uswisi wakishirikiana na ChlyKlass Productions pamoja Deiwaka Productions ya hapa Bongo wanakuletea Compilation Cd inayokwenda kwa jina la (Daladala art 05) ikiwa imewashirikisha wasanii wa hiphop kutoka uswisi pamoja na vichwa hatari kutoka Bongo.
 
Zanzibar Music Awards hiyoooo!!
Saturday, 18 February 2006
Kituo cha Radio cha Zenji 96.8 FM cha mjini Zanzibar kwa mara ya kwanza ktk historia ya muziki wa kisiwa hicho,wanaandaa tuzo kwa ajili ya wanamuziki wa kisiwa hicho (Zanzibar Music Awards) zinazotarajiwa kufanyika tarehe 25 Feb 2006.
 
Kukurupuka kutaua Bongo Flava
Saturday, 18 February 2006
Msanii mkali wa miondoko ya RnB nchini..Banana Ali Zorro, amesema hivi karibuni alikua akifanya utafiti wa kujua kinachosababisha kutodumu kwenye chati kwa muda mrefu kwa nyimbo za Bongo Flava.
 
Fid Q - The Rebirth & Future of Bongo Hiphop
Saturday, 18 February 2006
From when he dropped those infamous 16 bars on a featured track 'Ukweli na Uwazi' on the now classic Wachuja Nafaka album, Bongo HipHop was born again through the sharp lyricism of Fareed Kubanda aka Fid Q!!
 
<< Mwanzo < Prev 341 342 Next > Mwisho >>

Who's been doing what

13 March, 2010
profile update, 12:52
chumamoto updated their profile photo.

new user registration, 07:11
chumamoto joined our community! Welcome!

new user registration, 06:53
tashu joined our community! Welcome!

profile update, 00:30
MTU PORI updated their profile photo.

12 March, 2010
new user registration, 18:39
a78saa joined our community! Welcome!

profile update, 16:59
helenaa updated their profile photo.

status update, 16:21
mycle Am juc chln' waitn' 4 dinner

new user registration, 14:29
markone joined our community! Welcome!

new user registration, 13:52
semhando joined our community! Welcome!

new user registration, 13:33
servasadolph joined our community! Welcome!

The Weather

Dar es Salaam, , TZ

Now
Partly Cloudy
32°C, Windchill: 32°C
Wind: 27 kph N
Humidity: 65%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,005 mb steady
Sunrise: 6:28 am
Sunset: 6:37 pm
Sat
Sunny
Hi: 33°C, Low: 27°C
Sun
Partly Cloudy
Hi: 33°C, Low: 27°C

Sudoku

othman shouts:
Gaucho nimekumiza nini kaka?nasikitishwa sana na muafrica wewe kunita mie ni mtu mmbaya sana !!naka

Picha Mpya za WanaB5!

 

Latest Songs

Not a Flirt
K-Lynn ft Hermy B
Ulinikuta
Klex ft Stone
Chupa Nyingine
Mchizi Mox
Shikide
Dully Sykes
Nimetoka Mbali
Jaguar ft. AY

Latest Videos

We have 52 guests online and 2 members online
4pak100 golgotha
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
total 25713 wanachama
female 6293 female
male 19307 male
month 45 mwezi huu
Mpya: chumamoto