|
Qchillah matatani na kesi ya wizi!! |
|
Saturday, 18 February 2006 |
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Abubakar Shaaban Katwila ’Q-Chillah’,siku ya jana alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akikabiliwa na tuhurna za wizi. |
|
Suma G akutana na MB Dogg feki |
|
Saturday, 18 February 2006 |
Msanii Suma G ambaye taarifa za kinoko zinamuelezea kama mkataji monde(Beer) maarufu miongoni mwa wasanii,amewashauri wasanii maarufu ambao hawajatoa video hata moja kwa sasa wafanye hivyo haraka ili kuepukana na matapeli wanaowaibia kazi zao. |
|
Saturday, 18 February 2006 |
|
Kwa mara ya kwanza ktk historia ya muziki wa kizazi kipya nchini,Wizara ya mambo ya nje ya uswisi wakishirikiana na ChlyKlass Productions pamoja Deiwaka Productions ya hapa Bongo wanakuletea Compilation Cd inayokwenda kwa jina la (Daladala art 05) ikiwa imewashirikisha wasanii wa hiphop kutoka uswisi pamoja na vichwa hatari kutoka Bongo. |
|
Zanzibar Music Awards hiyoooo!! |
|
Saturday, 18 February 2006 |
Kituo cha Radio cha Zenji 96.8 FM cha mjini Zanzibar kwa mara ya kwanza ktk historia ya muziki wa kisiwa hicho,wanaandaa tuzo kwa ajili ya wanamuziki wa kisiwa hicho (Zanzibar Music Awards) zinazotarajiwa kufanyika tarehe 25 Feb 2006. |
|
Kukurupuka kutaua Bongo Flava |
|
Saturday, 18 February 2006 |
|
Msanii mkali wa miondoko ya RnB nchini..Banana Ali Zorro, amesema hivi karibuni alikua akifanya utafiti wa kujua kinachosababisha kutodumu kwenye chati kwa muda mrefu kwa nyimbo za Bongo Flava. |
|
Fid Q - The Rebirth & Future of Bongo Hiphop |
|
Saturday, 18 February 2006 |
|
From when he dropped those infamous 16 bars on a featured track 'Ukweli na Uwazi' on the now classic Wachuja Nafaka album, Bongo HipHop was born again through the sharp lyricism of Fareed Kubanda aka Fid Q!! |
|
<< Mwanzo < Prev 341 342 Next > Mwisho >>
|