Sun 21 Mar 2010
Sasa habari zinapatikana kwa kiingereza na kiswahili, chagua lugha upendayo hapo juu
Wyclef alivyoguswa na Haiti
Tuesday, 19 January 2010
Image
Mwanamuziki na prodyuza wa Marekani ambaye asili yake in Haiti, Wyclef jean, kupitia Taasisi yake ya Yelle haiti akishirikiana na AmeriCares na friends of WFP, amefanikiwa kuchangisha zaidi ya Dola milioni 2 kusaidia wahanga wa tetemeko la ardhi lililotokea wiki iliyopita huko Haiti na kuwaacha maelfu bila makazi. Clef aliweka ujumbe kwenye wavuti ya taasisi hiyo akiwaomba watu wajitolee kusaidia waathirika na kupata kiasi hicho cha pesa
 
Jamii salama yazinduliwa
Tuesday, 19 January 2010
Image
Taasisi isiyo ya kiserikali wala kibiashara ya Peercorps Trust Fund, imezindua jamii salama yenye malengo ya kupunguza maambukizi ya VVU, kuboresha maisha ya kijijini hasa kwa mama na mtoto, kuboresha elimu na usawa na pia kuzuia ajali. Akiongea na waandishi wa habari leo kwenye ukumbi wa maelezo, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo, Dr. Hamis Kigwangalla, amefafanua kwamba nchi nyingi zinazoendelea zimekuwa na wakati mgumu kupambana na ajali kutokana na kuwa na uwezo mdogo kiuchumi hivyo kupoteza nguvu kazi za nchi na kuzidisha umaskini, sababu iliyowapelekea kuzindua Jamii hiyo wakishirikiana na Taasisi ya Kiswidishi ya Karolinska
 
Mnasema nani kafulia?
Monday, 18 January 2010

Image

Image
Mjengo wake

Image
Usafiri wake


Zay B aka Mwanadada gaidi ameibuka na kusema kuwa kimya chake kingi hakimaanishi kwamba amefulia kimuziki ila ni kutokana michongo inayomuingizia hela zaidi ya muziki wa bongo ambao bado haulipi. Mdada kwa sasa anamiliki Toyota Premio na yuko kwenye harakati za kumalizia mjengo wake pande za Buyuni, Pugu. Kama hiyo haitoshi, Zay B anasema kwa sasa yuko kwenye mkataba wa kufanya kazi za muziki na kampuni ya Butile Africa Group ya Afrika Kusini. Kuna lingine?

 
Simba, yanga peupeee
Monday, 18 January 2010

Image

Image
Mgosi....Mwiba wa Majimaji

Jerry Tegete na Mrisho Ngassa walifunga magoli katika dakika ya 23 na 75, na kuwainua mashabiki wa Yanga siku ya Jumamosi pale timu hiyo ilipoilaza African Lyon Jumamosi na kufikisha pointi 24 nyuma ya Simba ambao nao walishuka dimbani na kukausha Majimaji ya Songea kupitia kwa Mussa Hassan Mgosi dakika ya 39 na 72 mabao 2 kwa bila. Spidi ya Simba bado iko kwenye mshale wa 120 ikiwa na pointi 36 baada ya kushinda mechi 12 katika la ligi

 
Prodyuza kutoka na Ray C
Monday, 18 January 2010
Image
Prodyuza 'yanki' anayepiga dili kupitia game ya muziki wa kizazi kipya, Victor Faiz Bahaj ameamua kuingiza voko mwenyewe huku akimpa shavu staa wa sanaa hiyo, Rehema Chalamila a.ka. Ray C.
 
Nuru ndani ya Florida
Monday, 18 January 2010
Image
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nuru Mohd aka Nuru the Light, anatarajia kufanya show kambambe pale Florida KeyWest, Oyster Bay maeneo ya kilimanyege siku ya Jumatano tarehe 20 Januari.
 
<< Mwanzo < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > Mwisho >>

Who's been doing what


profile update, 21:05
ommy name updated their profile photo.

new user registration, 19:29
kibaskeli joined our community! Welcome!

status update, 19:22
thug life bitch watch me rolling

profile update, 18:07
@shickland updated their profile.

profile update, 16:04
Bongo updated their profile photo.

new user registration, 15:58
moenakoo joined our community! Welcome!

profile update, 15:55
MwanaAppolo updated their profile.

profile update, 15:32
mtotomzuri updated their profile.

status update, 12:08
mtotomzuri iam watching the news

The Weather

Dar es Salaam, , TZ

Now
Partly Cloudy
26°C, Windchill: 26°C
Wind: 0 kph N
Humidity: 96%
Visibility: 0 km
Preasure: 1,006 mb steady
Sunrise: 6:27 am
Sunset: 6:33 pm
Mon
Scattered Thunderstorms
Hi: 32°C, Low: 26°C
Tue
Scattered Thunderstorms
Hi: 32°C, Low: 26°C

Sudoku

othman shouts:
Simba Simba ndio nini nani anayijuwa Simba lete habari za Maulaya sio Africa?

Picha Mpya za WanaB5!

 

Latest Songs

Not a Flirt
K-Lynn ft Hermy B
Ulinikuta
Klex ft Stone
Chupa Nyingine
Mchizi Mox
Shikide
Dully Sykes
Nimetoka Mbali
Jaguar ft. AY

Latest Videos

We have 24 guests online and 1 member online
wabogojo
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
total 25746 wanachama
female 6301 female
male 19332 male
month 78 mwezi huu
Mpya: kibaskeli