Eh Bana Ni Vipi Vichwa...Baada Ya Kusikiliza ''W Ndo mchizi Wangu Ni Remix''..Nimegundua Kuwa Hawa Wasanii Wetu Wako Very Talented..Ingawa Jamaaz Uwa Wana-Hate Kwa Sana...Ok...Nikaonelea kama Kuna Vichwa Hapa..Tujaribuni Kushuka Vina Kuhusu ''Machizi Wetu''..Anaye-support Hili Holla Back....Ma name Should Be Diarhoea..Coz I Bring Shyt!...Pamoja!
The administrator has disabled public write access.
#2404
Wa kijiwe(User)
Fresh Boarder
Posts: 2
Re:We Ndo mchizi Wangu 2007/11/02 20:42
Yaani pini limetulia, ila jamaa Temba ameharibu na staili zake za kizamani vile vile inekuwa tight zaidi kama na Ngwea angeperform....
The administrator has disabled public write access.
#2605
samlopi(User)
Fresh Boarder
Posts: 3
Re:We Ndo mchizi Wangu 2008/03/03 15:07
iko tight
The administrator has disabled public write access.