kufungiwa haiombi heshima bali ni kupenda kwamtu >I mean< ni sababu watu hatuna upendo!!!!
juzi juzi walini bann pasipo na kisa chakuni burn
>someone< kamwandikia jamaa LuckyLuca kampa uongo kitambo tu nikaona ni meambiwa >U've been banned< nika jiuliza kosa gani nime fanya?
mara ya pili nayo nili kua chat room kidogo waka ni burn lakini nilizi kumwombea mtu huyo msamaa kwa MUNGU. kweli wanadamu hatuna upendo.
tena mtu aliye nisemea uongo nimtu wa makamo kabisa yana kama ana midogo miaka ni 34 lakini kwasababu hatuna upendo chuki ime tawala basi.
jamani hii sio mahali pa kuleta chuki au uzushi jamani tuidumishe site hii
haa?
Praise Be To GOD The Most High
foreever and ever,,,,,,,,,,,Amen
