SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register
Bongo5 Forum
Welcome, Guest
Please Login or Register.
Lost Password?
Re:Jamani tuwe na heshima (1 viewing)
_GEN_GOTOBOTTOM Post Reply

TOPIC: Re:Jamani tuwe na heshima

#2100
Msambaa (User)
Fresh Boarder
Posts: 49
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Jamani tuwe na heshima 2007/06/30 22:01  
Imekua hapa watu wengine hii nafasi yakuweka picha wanaitumia bila kufikiria waweke nini nakuweka wanavyotaka wenyewe.
Huwa nakuja kwenye hii website sio kuja kuangalia mambo ya ajabu bali kusikiliza muziki au pengine kubadilishana mawazo na watanzania wenzagu.Nimewatambulisha marafikizangu wengi na wanaitembelea hii tovuti.Jambo lakuweka picha zauchi hapa kwakweli sio uungwana. Mtotowangu bado mdogo na bado hajajua maana ya hizo picha lakini kama ikiendelea hivi itakua miaka ya baadae niiache hii tovuti, naandika hivi kutokana na malalamiko ya marafiki zangu niliowatambulisha hii tovuti kuja na watoto wao ambao kwa wakati mwingine wanakwenda kwenye hizi games zilizoweka kwenye tovuti imekua sasa hawaruhusiwi kuja games kwasababu ya hizi picha za ajabu.Hivi ni uungwana mtu mzima kuweka picha za uchi kwenye profile lake?
  The administrator has disabled public write access.
#2103
Heartbreaker (User)
Fresh Boarder
Posts: 8
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Jamani tuwe na heshima 2007/07/01 13:46  
sawa sawa heshima kitu cha bure
  The administrator has disabled public write access.
#2409
HoVa (User)
Junior Boarder
Posts: 180
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Jamani tuwe na heshima 2007/11/03 08:41  
Msambaa wrote:
Imekua hapa watu wengine hii nafasi yakuweka picha wanaitumia bila kufikiria waweke nini nakuweka wanavyotaka wenyewe.
Huwa nakuja kwenye hii website sio kuja kuangalia mambo ya ajabu bali kusikiliza muziki au pengine kubadilishana mawazo na watanzania wenzagu.Nimewatambulisha marafikizangu wengi na wanaitembelea hii tovuti.Jambo lakuweka picha zauchi hapa kwakweli sio uungwana. Mtotowangu bado mdogo na bado hajajua maana ya hizo picha lakini kama ikiendelea hivi itakua miaka ya baadae niiache hii tovuti, naandika hivi kutokana na malalamiko ya marafiki zangu niliowatambulisha hii tovuti kuja na watoto wao ambao kwa wakati mwingine wanakwenda kwenye hizi games zilizoweka kwenye tovuti imekua sasa hawaruhusiwi kuja games kwasababu ya hizi picha za ajabu.Hivi ni uungwana mtu mzima kuweka picha za uchi kwenye profile lake?


ila ni kweli, tuzingatie maadili,
H.
  The administrator has disabled public write access.
_GEN_GOTOTOP Post Reply
© Copyright 2007 Best of Joomla, Powered by FireBoardget the latest posts directly to your desktop
Total Members
total 21204 registered
female 5267 female
male 15857 male
month 9 new this month
New: nakupenda wewe
Who's Online Now
We have 30 guests online and 6 members online
seukome moody x Calahany stopsnitchies shamita kizare
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com