Baharia Othman, Kwanza nakupaheshima nakuijua dini yakiislam hongera na endeleakuilinda dini. Nilipotoa comment kwenye hioforum yawamarekani wanaokuja kupiga muziki Tanzania kwakiislam niliulizakwamba kwanini diniiwe inakubali taarab na sio muzikiwakiislam.kumbukakwamba kwenyecomment yangu nilisema kwamba wenyekuijua dini vizuri dini watuelimishe wewe hujanifafanulia. Jambo lakunitumia pm nakuniambia 'wewe bwege kama hujui uislam nibora usiseme chochote kwenye hii tovuti' Baharia Othman ningefurahi kama mtukama wewe ungenielimisha lakinikinyume chake ulinitumia pm ambayo hata nikiiangalia naanza kucheka. Kilamtu anatoa maoni yake hapa, Mungu akujaalie inshaallah nakuijua dini yetu na upate mafanikio ili ukifika kule ahera uwakute wale wanawali wanaokusubiri.Ila jambo moja tu nikwamba mungu alisema 'la tahkumu walaa tuhkam' Nakutakia maisha mema huko Ugiriki
Post edited by: Msambaa, at: 2007/07/15 15:30
Post edited by: Msambaa, at: 2007/07/15 15:31
The administrator has disabled public write access.