SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register
Bongo5 Forum
Welcome, Guest
Please Login or Register.
Lost Password?
Re:Mambo ya WAHAYA (1 viewing)
_GEN_GOTOBOTTOM Post Reply

TOPIC: Re:Mambo ya WAHAYA

#1763
Rweyzuna (User)
Junior Boarder
Posts: 185
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Mambo ya WAHAYA 2007/03/21 15:52  
Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari bingwa sasa!

Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram.

Rweyongeza: aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa!

Rugaimukamu: mmmm

(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )

Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu, sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa, yeye ni nani?

Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanasafisha na kutunza maiti za watu Mortuary!
  The administrator has disabled public write access.
#1767
[Q] (User)
Fresh Boarder
Posts: 26
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Mambo ya WAHAYA 2007/03/21 19:17  
Duuuuh...Noma
  The administrator has disabled public write access.
#1784
tatu (User)
Junior Boarder
Posts: 148
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Mambo ya WAHAYA 2007/03/27 17:13  
kaazi kweli kweli
  The administrator has disabled public write access.
#1957
kimbory (User)
Fresh Boarder
Posts: 31
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Mambo ya WAHAYA 2007/06/06 10:58  
MMH mbavu zangu jamani kah! hiyo kali zaidi lkn kweli majigambo mengi hahaha
  The administrator has disabled public write access.
_GEN_GOTOTOP Post Reply
© Copyright 2007 Best of Joomla, Powered by FireBoardget the latest posts directly to your desktop
Total Members
total 21204 registered
female 5267 female
male 15857 male
month 9 new this month
New: nakupenda wewe
Who's Online Now
We have 46 guests online and 5 members online
fettylicious ruljal stopsnitchies sexpie ERICK JOHN9
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com