SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register
Bongo5 Forum
Welcome, Guest
Please Login or Register.
Lost Password?
Re:Watu wanapotukana kwenye chati site (1 viewing)
_GEN_GOTOBOTTOM Post Reply

TOPIC: Re:Watu wanapotukana kwenye chati site

#1948
kibasa (Visitor)
Fresh Boarder
Posts: 1
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Watu wanapotukana kwenye chati site 2007/05/30 21:40  
sawa tatu nimekuelewa ilala mimi sikutukani ila nakusifia tu,
dada umeumbika [size=4][/size] kama ni kweli wewe hiyo lip ni yako sio
  The administrator has disabled public write access.
#1949
binti Ceaser (Visitor)
Fresh Boarder
Posts: 21
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Watu wanapotukana kwenye chati site 2007/05/31 13:16  
ah jamani mimi siungi mkono kusema tuwaache tu.
haina maana kuwaacha tu koz haitasaidia kitu.

ujue mtu unashangaa mtu mgeni kaja leo leo, anafika anaanza kukutukana. Unabaki kujiuliza huyu jamaa vipi, mbona mimi simfahamu?? iweje kafika na kuanza matusi juu yangu??

Hupati jibu wala nini, unahishia kujilaumu kwa nini umekuja humu ndani leo, unamkosi gani na mengine mengi.

lakini watu wanaotukana matusi tunashinda nao, akija SIKUDHANI anakuja kwako mwema, anakuchekea, anakuulizaulipo, na mengine mengi.

akitoka anakuja SIWEMA, anakuja mwingine, utadhani kapandwa mashetani, anafika anaanza kukutukana, ndo hapo unakuwa hupati jibu. lakini kumbe ni wale wale tunaocheka nao, tunakula nao na wabaya ni hao hao.

mimi nikitoa ushauri wangu najua mtachukia lakini nadhani ndo dawa hii, ujue hata bongo5 inalemewa kwa ajili ya tatizo hili sugu. WATU KUWA NA PROFILE SI CHINI YA 10

MI NILIKUWA NAONA KAMA DAWA YA HAWA WATU NI KAKA LUCA KUFUNGA IP ADRESS ZAO, MTU UNATUMIA JINA MOJA KWA PC MOJA. kama una pc 10 basi utatumia 10 lakini kwa moja utakuwa umeshafundishwa adabu.

NAJUA WENGI MTAKASIRIKA ILA NDO UKWELI HUO, TOFAUTI NA HILI HATUTAPATA SULUISHO, TUTABAKI KULALAMA TU. NA JIBU HATUPATA.

KAKA LUCA NAYE ATUSAIDIE HILI (BILA KUFUNGA IP ADRESS HATUTAPATA SULUISHO

TUBADIRIKE WAKUBWA NA WADOGO ZANGU, ZANA ZA MATUS ziMEPITWA NA WAKATI.

MWONEENI HURUMA KAKA YETU ALOAMUA KUWEKA UKURASA HUU, ANATUMIA MUDA MWINGI KUTENGENEZA, KILA SIKU UNAONA KABADIRI HIKI NA KILE, JAMANI HATA SHUKURANI HATUNA NDUGU ZANGU?? TUBADIRIKE

MUNGU ATUBARIKI
  The administrator has disabled public write access.
#1950
LuckyLuca (Admin)
Admin
Posts: 56
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Watu wanapotukana kwenye chati site 2007/05/31 17:35  
Poleni jamani! Sasa mimi nipo hapa kwa ajili yenu, chochote ikitokea mnaweza kunitumia private message na nitajaribu kuongea na huyu mtu anaechafua mazingira, na wasipoelewa nitafunga profile zao.

Vile vile kunakuwaga na ma-moderator ndani ya chatroom, saa nyingine unaweza kukuta kwamba wametoka lakini sasa hivi nitaongeza idadi ya moderators.

If you need anything nitumieni private msg tu, kila siku nipo hapa ingawa sionekani chatroom.

Post edited by: LuckyLuca, at: 2007/05/31 15:51
  The administrator has disabled public write access.
#1952
kibunango (User)
Fresh Boarder
Posts: 65
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Watu wanapotukana kwenye chati site 2007/06/01 12:40  
Wanaopenda kutukana kwenye "chat room" ni Malimbukeni tu... Aidha ni vema kuwakemea kila mara, ili waweze kubadilisha tabia hizo za kijinga..!
  The administrator has disabled public write access.
_GEN_GOTOTOP Post Reply
© Copyright 2007 Best of Joomla, Powered by FireBoardget the latest posts directly to your desktop
Total Members
total 21206 registered
female 5268 female
male 15858 male
month 11 new this month
New: andyquicks
Who's Online Now
We have 22 guests online and 3 members online
thade da one n only player Tagora
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com