SwahiliEnglish
            Lost Password?    Bofya hapa kujiunga
Bongo5 Forum
Welcome, Guest
Please Login or Register.
Lost Password?
Re:Madini ni ya Wabongo, kwa nini tusinufaike? (1 viewing)
_GEN_GOTOBOTTOM Post Reply

TOPIC: Re:Madini ni ya Wabongo, kwa nini tusinufaike?

#1142
Rweyzuna (User)
Junior Boarder
Posts: 185
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Madini ni ya Wabongo, kwa nini tusinufaike? 2006/11/23 13:17  
Nakubali kuwa madini ni ya wabongo. Tatizo ni kuingia mikataba tena ya muda mrefu na wageni ili wachimbe na kuchukua madini yetu. Kama tujuavyo mkataba ni sheria, unabana. Kwa hiyo hapa hatuna ujanja waache wageni wachukue madini yetu mpaka tutakapopata akili ya kuchunguza mikataba kabla ya kuisaini.
  The administrator has disabled public write access.
#2543
Siafu (User)
Fresh Boarder
Posts: 5
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Madini ni ya Wabongo, kwa nini tusinufaike? 2008/01/14 12:26  
Issue nikwamba wabongo hawajui thamani ya gemstones, sikitu nyingine na tena wahusika ni deaf ya know a mean mbumbumu guess that right.
get another clue to that?????
  The administrator has disabled public write access.
#2853
sizajo (User)
Fresh Boarder
Posts: 2
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Madini ni ya Wabongo, kwa nini tusinufaike? 2008/07/17 21:29  
unajua ni kweli watanzania awajui umuhimu wa madini kwanza asa wa mjini awajui ata mgoni mmoja wanajua tu tuna mgodi na sio migoni thats 4 my true reseach i used to work at mining industry 4 two yrs.cha kufanya ni kutumia dictatative uwamuzi kwani ni moja ya uwongozi na kuwapunguzia miaka toka mia adi mitano mitano na wahache wakashtaki kwenye umoja wa mataifa awatafika kokote nasisi tutawaita kwa kuwashtaki kama wezi wa mali za wananchi na kutunga chelia za kuwabana kama akidanganya mkataba apolwe kibali cha kuchimba na fidia ya yote aliyochukua tatizo wezi wenyewe ni serikali na wageni
  The administrator has disabled public write access.
#2854
sizajo (User)
Fresh Boarder
Posts: 2
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:Madini ni ya Wabongo, kwa nini tusinufaike? 2008/07/17 21:31  
akuna wabongo mambumbumbu ila nielimu ya kutosha asikwambie mtu atujui kingeleza tu ila kama tungesoma kiswahili usipime mtu wangu
  The administrator has disabled public write access.
_GEN_GOTOTOP Post Reply
© Copyright 2007 Best of Joomla, Powered by FireBoardget the latest posts directly to your desktop
Total Members
total 21206 wanachama
female 5268 female
male 15858 male
month 11 mwezi huu
Mpya: andyquicks
Who's Online Now
We have 32 guests online and 4 members online
thade da one n only player Tagora Naasley
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com