SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register
Bongo5 Forum
Welcome, Guest
Please Login or Register.
Lost Password?
Re:MTANZANIA ... UKIJIULIZA HILI SWALI -> (1 viewing)
_GEN_GOTOBOTTOM Post Reply

TOPIC: Re:MTANZANIA ... UKIJIULIZA HILI SWALI ->

#2437
Atanaye (User)
Fresh Boarder
Posts: 18
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:MTANZANIA ... UKIJIULIZA HILI SWALI -> 2007/11/05 22:08  
Natty_Bongoman wrote:
* Ukiwa nchini ama nje ya nchi.

UZALENDO unamaanisha nini kwa mTanzania?
(kwa vizazi vya jana, na kwa vizazi vya leo)

Uzalendo ni mapenzi ya nchi na utetezi wa nchi.
Mimi kama Mtanzania mapenzi ya nchi yangu, ni kama ifuatavyo:
1.Amani- Tunajidai kwa amani tuliyokuwa nayo hamna nchi katika bara la Africa enye amani kama Tanzania. Amani hii imewezesha viongozi wengi wa Africa kutujumuisha katika sakata zao za Uhuru kwani tumeonyesha Dunia kwamba tunaweza tukaishi kwa Amani na Udiplomasia(Hapa Imani Tetezi)mkubwa tunao-onyesha katika Siasa na Utamaduni. Hali hii imetuwezesha kutetea nchi nyingi za jirani katika harakati zao kupata uhuru na hata kumuondoa Iddi Amini. Hii Imani Tetezi tuliyokuwa nayo ni sababu moja yapo ya kuwa na Amani. Naipenda nchi yangu hivi ilivyo! MUNGU IBARIKI TANZANIA!
2.Utetezi-Natetea Nchi yangu Hii kwa iliyo fanya,hasa katika kusaidia ukombozi wa majirani wetu wa karibu na wa mbali. Natetea Utamaduni tunaojivunia, vilevile ningependa kutetea kwamba ufisadi haupo lakini mpaka pale wimbi hili la ufisadi bado linalenga angani basi nitatetea Amani tuliyonayo! Bendera yetu inaeleza mengi kuhusu Watanzania Hivyo basi kutetea bendera yangu ni kutetea nchi yangu na maslahi yake!
Verissimal Fidelis!!
  The administrator has disabled public write access.
#2450
Natty_Bongoman (User)
Senior Boarder
Posts: 369
graph
Click here to see the profile of this user
Re:MTANZANIA ... UKIJIULIZA HILI SWALI -> 2007/11/11 00:51  
Nakusikia Atanaye, pia nakubaliana nawe.

* Amani yetu kweli ni baraka ... ila mara nyingi nawaza ka hii amani pia inatufanya tuwe waoga kupambana na rushwa. Mawazo yako?
  The administrator has disabled public write access.
_GEN_GOTOTOP Post Reply
© Copyright 2007 Best of Joomla, Powered by FireBoardget the latest posts directly to your desktop
Total Members
total 21204 registered
female 5267 female
male 15857 male
month 9 new this month
New: nakupenda wewe
Who's Online Now
We have 28 guests online and 5 members online
seukome moody x Calahany stopsnitchies kizare
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com