|
yassin wrote: kwangu mimi naona kwamba bora ukasome nje maana kuna elimu nzuri zaidi kuliko hata tanzania na tanzania unakaa unapoteza mda kwa hiyo bora ukasome nje tu ufanikiwe pia na maisha na nchi nzuri ya kwenda kusoma sio ukraine mbona kuna nchi nyingi sana za kwenda kusoma na unafanya kazi.
Elimu nje ya nchi sio rahisi kama unavyofikiri,...kwanza Inahitaji funds...talking about funds watu walionje wanajua what i'm talking about...Working + Going to school sio kitu rahisi...Uki-fanya B.S nyumbani kuna chance kubwa ya kumaliza ontime compared kama ukifanya abroad...
Nchi ziko nyingi za kwenda kusoma na nchi nyingi sasa wanaprovide elimu yenye viwango vya juu, kumbuka kuwa kuna nchi nyingine ukitaka kusoma kwao inabidi u-jifunze lugha yao kwa muda wa mwaka au zaidi (inategemea na uwezo wako wa kuelewa mambo) hapo tayari unakuwa na delay....kwa mfano, Urusi, Ukraine, Findland, Holland etc...elimu za stashahada za juu zinahitaji ujifunze na uwe fluent kwenye lugha zao....
Kusoma Na Kutosoma bongo kuna madhara yake, Bongo elimu ni hafifu na mbinu za kufunzia kielimu ni za kizamani, not only that migomo, na ya level za maisha nayo inachangia, the sad thing is ukimaliza bongo possibilities za kufanya kazi abroad na kuwa respected ni minimum...Na ukifanikiwa kumaliza abroad, tuliomaliza tunajua how it feels....na respect kibao unapata!....
Kusoma abroad Kunahitaji enough funds na dedication....kama hujui nini unafanya..i promise "fail" to you. Not to discourage those who wants to study abroad but that is the real truth...you'll waste your time trying to accomplish nothing.
nway nimeshachoka, hizo ni 0.2cents zangu.
Pamoja, H.
|