SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register
Bongo5 Forum
Welcome, Guest
Please Login or Register.
Lost Password?
Re:watu wenye majina machafu tuwafanyeje?? (1 viewing)
_GEN_GOTOBOTTOM Post Reply

TOPIC: Re:watu wenye majina machafu tuwafanyeje??

#2590
Natty_Bongoman (User)
Senior Boarder
Posts: 369
graph
Click here to see the profile of this user
Re:watu wenye majina machafu tuwafanyeje?? 2008/03/01 06:13  
binti ceaser wrote:
Najua kabisa hili, na mtu anaingia na jina hili anatukana akitoka anakuja na jina jingine anajifanya mtakatifu.

mapanga tunayo na kazi yanafanya, la kufanya sasa ni mtu akitukana sana tunamfunga ip adress hatakaa aingie tena na computer hiyo mpaka atakapobadilisha pc hii ndo dawa ya watu wasiojiheshimu, hakuna cha mtoto hapa kwani watoto hawajui kuchat, kama mtu anajua sehemu ya kuandika jina lake, pasword na kuingia maskani hakuna cha utoto pale ni mtu mzima akili ndogo tu.

ila dawa yao ni kufunga ip ndo dawa iliyobakia.

tukaneni sasa muone.
kama huna la kuchat kafanye shughuli ingine, mbona kwenye net kuna vitu vingi tu.

muda mwema na Mungu atubariki.

Wee ni mkali, Binti, Huh?

Eniwei, wakirudi kitakatifu na majina bora, si wametubu na kubadilika, ama?
  The administrator has disabled public write access.
#2657
Masaya (User)
Fresh Boarder
Posts: 2
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:watu wenye majina machafu tuwafanyeje?? 2008/04/09 18:32  
this remind of this quote

"Everybody wants to go to heaven; but nobody wants to die."
  The administrator has disabled public write access.
#2658
GAUCHO (User)
Fresh Boarder
Posts: 2
graphgraph
Click here to see the profile of this user
Re:watu wenye majina machafu tuwafanyeje?? 2008/04/09 19:11  
pambaman nakuunga mkono umeongea pointi ya mana kaka naona yote niliyotaka kuongea umeyamaliza ww ila ni ukweli m2pu yote uliyozungumza.
  The administrator has disabled public write access.
#2661
Natty_Bongoman (User)
Senior Boarder
Posts: 369
graph
Click here to see the profile of this user
Re:watu wenye majina machafu tuwafanyeje?? 2008/04/13 23:27  
Masaya wrote:
this remind of this quote

"Everybody wants to go to heaven; but nobody wants to die."

PETER TOSH sang that ... what reminded you of the phrase?
  The administrator has disabled public write access.
_GEN_GOTOTOP Post Reply
© Copyright 2007 Best of Joomla, Powered by FireBoardget the latest posts directly to your desktop
Total Members
total 21204 registered
female 5267 female
male 15857 male
month 9 new this month
New: nakupenda wewe
Who's Online Now
We have 36 guests online and 4 members online
stopsnitchies FESKAM ERICK JOHN9 samne
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com