| Kenn |
Created On: 11/02/2008 23:29:57
thnx 4 visitin!
|
klex
 |
Created On: 11/02/2008 19:30:06
Hey mambo vipi mbona na hapapoa kabisa unaweza ata kulala tuu usiogope shwari tuu,
|
| Kenn |
Created On: 11/02/2008 07:15:13
hey
|
Lonely Handsome Man
 |
Created On: 10/02/2008 21:50:31
ha ha ok hujambo lakini??mimi nimetulia sana afu ninajiheshimu kupita maelezo, salama, lete jipya kutoka huku kwenu
|
Lonely Handsome Man
 |
Created On: 10/02/2008 04:18:51
hi again, hiyo uliyoweka ktk picha ni nini, unaabudu majini??
|
klex
 |
Created On: 09/02/2008 11:18:16 Edited By klex On: 10/02/2008 18:17:53
Hello baby hi vipi job shwari uko
|
Lonely Handsome Man
 |
Created On: 08/02/2008 04:32:07
asante kwa kunitembelea tuwasiliane
weekend njema
|
klex
 |
Created On: 16/01/2008 08:55:43 Edited By klex On: 05/02/2008 19:15:51
Hello baby mambo vipi asate kwa kuni tembelea karibu - http://www.maishamafupi.blogspot
|
ABBASS
 |
Created On: 09/09/2007 06:22:11
Allaahummah-diniy fiyman Hadayta , Wa 'Aafiniy fiyman 'Aafayta, Watawallaniy fiyman Tawallayta, Wabaarik liy fiymaa A'atwayta, Waqiniy Sharra Maa Qadhwayta, Fainnaka Taqdhwiy Walaa Yuq-dhwa 'Alayka, Innahu Laa yadhillu mawwaalayta, Walaa Ya'izzu man 'Aadayta, Tabaarakta Rabbana Wa Ta'aalayta Feedback from nyathi: Mmmmm abbas ni heri kweli? tafsiri basi.
|
Gerrmy
 |
Created On: 06/05/2007 00:13:12 Edited By Gerrmy On: 06/05/2007 00:15:12
oooh my,singin!imetulia hiyo
|
diana
 |
Created On: 12/02/2007 07:20:19
hi
am fine thanks. mzima ww uko. nakujua hali tu dada,ngu matumai u mzima sana
byee diana
|
kakaman
 |
Created On: 11/02/2007 12:31:55
Huyu mtoto ni kama wako lakini sio wako, kwani umepoteza mtoto au? na mtoto wangu ndio alivyo hupenda kumshangaa papa wake.
|
| binti Ceaser |
Created On: 09/02/2007 13:00:38
ihihihihiiiiiiiiiii
naona kwako ni kila kitu bwana
kulala unapo na popote.
tiiii jibakie salama
|
| binti Ceaser |
Created On: 09/02/2007 10:50:50
ihihihiiiiiiiiii
yaani ukiongeza na dagaa
basi mi silijui jibu la hapana.
nyanya chungu sasa ndo kabisa. we
ni byacha mawe?? nambie au watoka msm
titititiiiiiiiii karibu tule viazi
na mikate, taabu kweli kweli.
karibu tena
|
| binti Ceaser |
Created On: 08/02/2007 19:46:56
eheheheheeeeeee
we unatakiwa kulala bwana
hiyo kazi uifanyayo hadi asubuhi
du! hatari na nusu kabisa, mi sipo
na chumvi situmii kabisa, kwa raha
zangu, ndo maana nikipita kusema hi
unakauka unadhani napita kuomba chunvi
lol, napitaga kukujulia hali tu. dah hiyo
hapo juu kama umeikata kwa gazeti mi sisemi
wewe ni nani hapo sasa?? karibu tena
|