nagma
 |
Created On: 18/11/2008 14:08:28
Hello my dear sorry for being quite,nilikua kidogo nimezongwa na majukumu ya kimaisha,my dear tutawasiliana kwa email yangu ili tuwasiliane zaidi ya bongo5
ila hakuna mtu ananiibia jamani huko?? na hilo tabasamu mmh naona wivu
|
said salehe
 |
Created On: 06/11/2008 03:09:43
cool man nipo ila siunajua magetho boy lazima ujichanganye
|
reemat1234
 |
Created On: 03/11/2008 07:42:04
hapana bado natafuta m2 atakaye weza ni2nza zaidi.....
|
ordibehesht 2
 |
Created On: 26/10/2008 13:28:51
mi naona kila kitu kiko kama kilivyopangwa na mungu siku njema kaka
|
reemat1234
 |
Created On: 20/10/2008 05:07:40
haa safi sana bro,msalimie sana uyo mrembo..mi niko buzy na mitihani. 
|
said salehe
 |
Created On: 02/10/2008 08:38:55
sema kamanda mzee wa zenji kijiwe
|
ordibehesht 2
 |
Created On: 28/09/2008 22:15:35
sema kaka mzima wewe
|
reemat1234
 |
Created On: 17/09/2008 05:30:23
hee ata salamu! mi mzima bro...mambo vp..long tyme whr ve u been 
|
nagma
 |
Created On: 29/08/2008 18:49:05
Hello my dear
Habari ya masiku?Hope uko poa
Have a nice weekend na Ramadhan Karim
|
reemat1234
 |
Created On: 28/07/2008 18:36:38 Edited By reemat1234 On: 17/09/2008 05:12:09
mambo vp m2 wangu/ ops ur oky.just checkin on u...takea
|
depayo
 |
Created On: 17/07/2008 20:26:37
mh
|
Lawalawa
 |
Created On: 14/07/2008 03:05:31
|
depayo
 |
Created On: 13/07/2008 21:12:23
poa nashangaa unanichunia,nijulie hali yako
|
lion_wh
 |
Created On: 13/07/2008 00:04:06
Hi 
just greetings to You from Austria
Walter
|
| eminelly |
Created On: 12/07/2008 10:16:39
ohoooo!!!!so sorry,tatizo umechelewa kutoa taarifa.unaleta uswaz hadi kwenye mambo kama haya,utakufa ucpoangalia.
next tym ukiona dalili tu niambie kabla mambo hayajaaribikaaaaaaaa.....
CHOCHOTE UTAPATA......
Natumai we mzima mpendwa
|