SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register
Latest Shout-Out!
my rachel:

kasi ya ajabu kama wakimbiza pikipiki.......ha ha ...harusi ya mwanao sijui utacheza au utamwaga rad



Music Corner




Advertisement
Sudoku
sifa's Profile
Personal URL: http://www.bongo5.com/sifa
Hits 4333
Online Status OFFLINE
Member Since 17/04/2008 16:06:12
Last Online 22/12/2008 17:18:45
Last Updated 22/12/2008 11:27:11
sifa
City: dar es salaam
Hometown: sinza
Country - Nchi: Tanzania
Gender - Jinsia: Female
Age - Umri: 18 to 23
Relationship Status: Not Looking
Drinker - Mnywaji?: No
Smoker - Mvutaji?: No
About Me :: Kuhusu Mimi: kawaida
I'd Like to Meet - Ningependa kukutana na: wapenda maendeleo, NOT: sipendi kukutana na watu wapenda majungu.
Interests - Napenda: reading, watching tv, cooking, sleeping and travelling
My Photos & Videos

Only Registered Members Allowed to view the Photos in this Gallery!
Not a member yet? Click here to register now, its easy & free!




My Photo Albums

My Videos
Profile Visitors
The last 10 profile visitors
 
PhotoNameTime
   annakasuga  Date: 07-1-09 Time:12:51 
   flora  Date: 06-1-09 Time:19:25 
   sayuni  Date: 28-12-08 Time:07:33 
   vinho211  Date: 25-12-08 Time:13:17 
   DONIZ  Date: 24-12-08 Time:16:43 
   benmugashe  Date: 22-12-08 Time:14:52 
   MaryAnn  Date: 22-12-08 Time:11:22 
   mkulima  Date: 22-12-08 Time:01:54 
   lil miss P  Date: 20-12-08 Time:16:31 
   213RIZ  Date: 20-12-08 Time:03:27 
 
My Guestbook

Name Entry
natty gal.
Created On: 18/08/2008 18:49:39

poa sana mambo?thanx kwa kupiti jah bless peace for now later.

ordibehesht 2
Created On: 18/08/2008 14:10:23

hata wewe dada unakaribishwa kwa mapana na marefu wape hi bongo

GAUCHO
Created On: 18/08/2008 12:27:17

mwenzio nimekabidhiwa duka siku hizi ndio mana adimu sana nimekuwa poa siku njema iwe kwako wa kunyumba!

Ngweno
Created On: 17/08/2008 11:46:19

jiraniii vibaya hivyo hata kunijulia hali?

LAURA G
Created On: 15/08/2008 14:28:01

hujambo weyeeeeeeeee,mie niko makini kama chuma

crishna Created On: 15/08/2008 12:03:19

niambie mrembo km nancy sumari upo?miss u dada!

debra
Created On: 14/08/2008 11:09:17

Mdogoaangu niko namtafuta kaka yetu West simuoni ati umemuona??
Yaani nyie wadogo zangu mumekua munatembea kuliko mie lol!!
Sipendi namna hii nitamwambia shemeji yenu atembeze mkongoto naona mshasahu sasa!!
Ohoooo bahati yenu sijasema mie!!
Heheheheee...nimekumiss kweikwei!!


benmugashe
Created On: 14/08/2008 08:10:18

mdogo wangu hii picha naikumbuka mwaka jana hivi haujabadirika ukatuwekea current pic..maana mmmmm

GAUCHO
Created On: 13/08/2008 13:55:03

nimeona wa kunyumba kuhusu huyo binti mlokole a.k.a mrembo tmk kakataa umiss wa redds bull,ila sina zaidi yangu sijui walimsema kanisani kwao alivyoshiriki miss tz mwanzo au alikuwa amelenga miss tz kushinda sa ndio kajitosa,sijui,haya waambie kina katembo na komba wanisubiri hapo mlimani city mall au kama vp tutaonana nao nakapanya huko.

fonser
Created On: 12/08/2008 19:05:16

lng tym!
mwaaaah!

crishna Created On: 12/08/2008 17:59:07

mrs. nanilii upo?hahahahaa mwambie anilii mi ushaniambia kwa hiyo asiogope kitu!au tupange tumt sote mahali ili mnipe habari vizur mana naona km siamini vile!pamoja mamaaaaaaaa!

Yassern
Created On: 12/08/2008 02:49:39

nimekusubiri Airport hadi nimekoma,yaani ndege zote zinazotoka Afurika lakini sijakuona,lol! nimelala eapoti!mbona kimya ? au umeenda moja kwa moja beijing?hha!peace,luv,respect,unity..pamoja!

klex
Created On: 11/08/2008 17:28:04

Hey sana wangu thanx fro comments girl take care sinza vipi ?

PETRO
Created On: 11/08/2008 15:07:26

ndie lakini nilitubu

MwanaAppolo
Created On: 10/08/2008 18:19:42

hi there gal.karibu na kwetu


My friends
OFFLINE oscarparison
OFFLINE Ngweno
OFFLINE mlavitu flan flan
OFFLINE fonser
OFFLINE miti
OFFLINE stella bady
OFFLINE benmugashe
OFFLINE automaticciera@aol.com
OFFLINE kayaman3
OFFLINE safari985
OFFLINE lion_wh
OFFLINE Lonely Shirima
OFFLINE woozgan
OFFLINE Ruge5
OFFLINE g_thedon
OFFLINE diamond
OFFLINE koolz
OFFLINE TOBOATOBO
 
<< Start < Prev [1] 2 Next > End >>
Bilicanas Kufunguliwa Rasmi Leo
Ladies and Gentlemen hayawi hayawi sasa yamekuwa!! Its now official club kongwe na maarufu nchini Tanzania Club Bilicanas leo itafungua milango wazi kuwakaribisha wapenda starehe jijini Dar-es-Salaam na Tanzania kwa ujumla
Read more...
Mwana Fa Huyoo UK....tena
Msanii maarufu wa muziki wa kufoka foka Hamisi mwinyijuma ambaye anajulikana zaidi kama Mwanan FA yuko mbioni kuelekea nchini uingereza.
Read more...
Chupa Za Maji Zahujumiwa
Hii ni pengine breaking newz kwa wale wote wanaopenda kununua maji njiani yaani yanayosambazwa na kuuzwa na wachuuzi wa maji katika barabara na mitaa ya jiji la Dar-es-Salaam
Read more...
Sasa zamu ya Mramba, Yona
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ilipanda joto baada ya mawaziri wa zamani wawili Bw. Basil Mramba na Bw. Daniel Yona, kufikishwa hapo, wakituhumiwa kutumia vibaya madaraka yao wakiwa mawaziri
Read more...
Gray Mgonja Naye Kortini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, ambaye yuko katika likizo ya kustaafu, Grey Mgonja, jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka manane.


Serikali Yala Sahani Moja Na Richmond

Serikali imefungua uwanja mpya wa mapambano dhidi ya wabunge baada ya kutangaza wazi kwamba ina mpango wa kununua mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Dowans, uamuzi ambao unapingwa vikali na wawakilishi hao wa wananchi.


Pinda Acharukia Semina Mashangingi

Hatimaye, Serikali imesikia kilio cha muda mrefu cha walipa kodi juu ya matumizi makubwa yasiyo ya lazima serikalini katika ununuzi wa magari ya kifahari maarufu kwa jina la mashangingi na sasa ununuzi wake utapunguzwa kwa kiwango kikubwa.


URA Yaiadhibu Mtibwa Tusker

TIMU ya Mtibwa Sugar imeanza vibaya michuano ya Kombe la Tusker kwa kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Mamlaka ya Mapato Uganda (URA).


Stars Yapokelewa Kishujaa Dar

Maelfu ya mashabiki wa soka wa jijini Dar es Salaam jana walijitokeza katika mitaa mbalimbali ili kuilaki timu ya taifa, Taifa Stars iliyorejea nchini kutoka Sudan baada ya kufanikiwa kukata tiketi ya kushiriki fainali za kwanza za Kombe la Mataifa ya Afrika (CHAN).


Latest Members Photos
Upload Photos to your Personal Album
 

Highslide JS
Frazzy
2009-01-06

Highslide JS
mteka
2009-01-06

Highslide JS
dude222
2009-01-06

Highslide JS
rajeymasterplan
2009-01-05

Upcoming Events
Miss East Africa - 07 February...
Hamburg - 07.02.2009 | 23.00
Register now to add your events!!

Your Comments
Latest Forum Entries
VIDEO:NJIA MPYA YA KUJIFUNGUA (KUZAA),&...
evarist 07-01-09 06:06
rais wa jamuhuri ya Tanzania
mdigo 02-01-09 11:16
VIDEO YA BINADAMU ALIYE NUSU MTU NUSU MMEA
evarist 28-12-08 23:30
Domain name, Website & Hosting service ...
wealthonline 28-12-08 20:55
Domain name, Website & Hosting service ...
wealthonline 28-12-08 20:32

Total Members
total 21937 registered
female 5430 female
male 16428 male
month 143 new this month
New: mtizoo
Who's Online Now
We have 50 guests online and 11 members online
Bongo newtonhero debra side boy phunter gracejohnny suzan naah atiy said.ishaaq Tango foxtrot mike
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com