SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register
Latest Shout-Out!
my rachel:

kasi ya ajabu kama wakimbiza pikipiki.......ha ha ...harusi ya mwanao sijui utacheza au utamwaga rad



Music Corner




Advertisement
Sudoku
sifa's Profile
Personal URL: http://www.bongo5.com/sifa
Hits 4334
Online Status OFFLINE
Member Since 17/04/2008 16:06:12
Last Online 22/12/2008 17:18:45
Last Updated 22/12/2008 11:27:11
sifa
City: dar es salaam
Hometown: sinza
Country - Nchi: Tanzania
Gender - Jinsia: Female
Age - Umri: 18 to 23
Relationship Status: Not Looking
Drinker - Mnywaji?: No
Smoker - Mvutaji?: No
About Me :: Kuhusu Mimi: kawaida
I'd Like to Meet - Ningependa kukutana na: wapenda maendeleo, NOT: sipendi kukutana na watu wapenda majungu.
Interests - Napenda: reading, watching tv, cooking, sleeping and travelling
My Photos & Videos

Only Registered Members Allowed to view the Photos in this Gallery!
Not a member yet? Click here to register now, its easy & free!




My Photo Albums

My Videos
Profile Visitors
The last 10 profile visitors
 
PhotoNameTime
   annakasuga  Date: 07-1-09 Time:12:51 
   flora  Date: 06-1-09 Time:19:25 
   sayuni  Date: 28-12-08 Time:07:33 
   vinho211  Date: 25-12-08 Time:13:17 
   DONIZ  Date: 24-12-08 Time:16:43 
   benmugashe  Date: 22-12-08 Time:14:52 
   MaryAnn  Date: 22-12-08 Time:11:22 
   mkulima  Date: 22-12-08 Time:01:54 
   lil miss P  Date: 20-12-08 Time:16:31 
   213RIZ  Date: 20-12-08 Time:03:27 
 
My Guestbook

Name Entry
PETRO
Created On: 01/09/2008 19:12:23

sema mtoto wa sinza nitakuja kukutembelea baadae

debra
Created On: 01/09/2008 16:40:04

Mdoooangu mweeh unempiga mabiti yule nanihii!!
Heheheee bukta fupi atakuhusu mi nishachoka nishachoka mie...
Heheee niko poa niko kune boksi leo.
Nimekukosa lol!!


benmugashe
Created On: 01/09/2008 10:16:33

Message derivered ma dear sister.. vipi wazima huko Sinza kwa wajanja.. mitaa ya Fine?

Mwajei
Created On: 31/08/2008 15:33:40

oohh best..pole na mizunguko..anyway haina noma..mi nipo tu..savaiving..gud msg u hv it ur pic...guday mrembo..cya around
xoxo


swejacky
Created On: 30/08/2008 14:00:24

hi, thanks for passing by

PKJ
Created On: 29/08/2008 17:08:55

Yeyoooo! Ebwana we ulikuwa mganga nini? maana nilikuwa mwalimu kabla ya kuwa mwana rum, sasa nimekumbukia enzi zangu!

Nashukuru kwa kunitilia maguu home kwangu na mie napita kgd kuna mahali nawahi, nitaingia nikirudi.. Hahahaaaa!!


GUCCI
Created On: 29/08/2008 16:00:54

hii and thanx for passing by

speed
Created On: 29/08/2008 11:37:38

mh toto la sinza una mambo wewe, usijali sasa hivi nitakutoa offer private mithili ya honey moon, jst stay calm. ukija usiwe na jinsi, uvae gauni la kitambaa chepesi ili offer hiyo inoge zaidi.sawa eh!!

GAUCHO
Created On: 29/08/2008 11:12:09

wa kunyumba unajua mgao wa maji unanifanya niwe bize mithili ya jafharai vile kuteka maji kisimani,otherwise umzima wewe?katembo,sungura na ngonyani wamshukuru mwenyezi hofu yao juu yako!

Nisipitwe
Created On: 29/08/2008 00:23:02

hello mpedwa.
ama mipishano kila nikija sikukuti afu nimekumiss hujambo likini,week end njema :

kasambula.jr
Created On: 28/08/2008 21:39:08

Mpendwa mimi mzima sijui wewe

g_thedon
Created On: 27/08/2008 15:49:04

Okay but tell them wasi kuweke so bize kwasababuuu????!!!!!!! they will make you so kuchokaling. wape hi wote.

debra
Created On: 27/08/2008 14:57:59

Mhhh nimeambiwa umenanihiii kwa yule chalaa yetu....sasa rudisha haraka sana kabla sijamwita bukta fupi akutandike mikwaju....Mi nimechoka mara aunesepa na vitumbua mara ,mara unepokonya visheti vya watu mweeh nachoka mie jama...
Nawita bukta fupi sasa hivi aje kenda unajua kucheza bao anakauja shauri ako!!
Moko lavu...Nimekumiss lol!!


Beminem
Created On: 27/08/2008 04:23:29

Heyyyyy..and that smile..wow, keep it real, you know how to do it

g_thedon
Created On: 26/08/2008 16:45:56

you have visit my prof lakini huku niandikia kitu sijui kwanini?


My friends
OFFLINE oscarparison
OFFLINE Ngweno
OFFLINE mlavitu flan flan
OFFLINE fonser
OFFLINE miti
OFFLINE stella bady
OFFLINE benmugashe
OFFLINE automaticciera@aol.com
OFFLINE kayaman3
OFFLINE safari985
OFFLINE lion_wh
OFFLINE Lonely Shirima
OFFLINE woozgan
OFFLINE Ruge5
OFFLINE g_thedon
OFFLINE diamond
OFFLINE koolz
OFFLINE TOBOATOBO
 
<< Start < Prev [1] 2 Next > End >>
Bilicanas Kufunguliwa Rasmi Leo
Ladies and Gentlemen hayawi hayawi sasa yamekuwa!! Its now official club kongwe na maarufu nchini Tanzania Club Bilicanas leo itafungua milango wazi kuwakaribisha wapenda starehe jijini Dar-es-Salaam na Tanzania kwa ujumla
Read more...
Mwana Fa Huyoo UK....tena
Msanii maarufu wa muziki wa kufoka foka Hamisi mwinyijuma ambaye anajulikana zaidi kama Mwanan FA yuko mbioni kuelekea nchini uingereza.
Read more...
Chupa Za Maji Zahujumiwa
Hii ni pengine breaking newz kwa wale wote wanaopenda kununua maji njiani yaani yanayosambazwa na kuuzwa na wachuuzi wa maji katika barabara na mitaa ya jiji la Dar-es-Salaam
Read more...
Sasa zamu ya Mramba, Yona
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ilipanda joto baada ya mawaziri wa zamani wawili Bw. Basil Mramba na Bw. Daniel Yona, kufikishwa hapo, wakituhumiwa kutumia vibaya madaraka yao wakiwa mawaziri
Read more...
Gray Mgonja Naye Kortini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, ambaye yuko katika likizo ya kustaafu, Grey Mgonja, jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka manane.


Serikali Yala Sahani Moja Na Richmond

Serikali imefungua uwanja mpya wa mapambano dhidi ya wabunge baada ya kutangaza wazi kwamba ina mpango wa kununua mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Dowans, uamuzi ambao unapingwa vikali na wawakilishi hao wa wananchi.


Pinda Acharukia Semina Mashangingi

Hatimaye, Serikali imesikia kilio cha muda mrefu cha walipa kodi juu ya matumizi makubwa yasiyo ya lazima serikalini katika ununuzi wa magari ya kifahari maarufu kwa jina la mashangingi na sasa ununuzi wake utapunguzwa kwa kiwango kikubwa.


URA Yaiadhibu Mtibwa Tusker

TIMU ya Mtibwa Sugar imeanza vibaya michuano ya Kombe la Tusker kwa kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Mamlaka ya Mapato Uganda (URA).


Stars Yapokelewa Kishujaa Dar

Maelfu ya mashabiki wa soka wa jijini Dar es Salaam jana walijitokeza katika mitaa mbalimbali ili kuilaki timu ya taifa, Taifa Stars iliyorejea nchini kutoka Sudan baada ya kufanikiwa kukata tiketi ya kushiriki fainali za kwanza za Kombe la Mataifa ya Afrika (CHAN).


Latest Members Photos
Upload Photos to your Personal Album
 

Highslide JS
Frazzy
2009-01-06

Highslide JS
mteka
2009-01-06

Highslide JS
dude222
2009-01-06

Highslide JS
rajeymasterplan
2009-01-05

Upcoming Events
Miss East Africa - 07 February...
Hamburg - 07.02.2009 | 23.00
Register now to add your events!!

Your Comments
Latest Forum Entries
VIDEO:NJIA MPYA YA KUJIFUNGUA (KUZAA),&...
evarist 07-01-09 06:06
rais wa jamuhuri ya Tanzania
mdigo 02-01-09 11:16
VIDEO YA BINADAMU ALIYE NUSU MTU NUSU MMEA
evarist 28-12-08 23:30
Domain name, Website & Hosting service ...
wealthonline 28-12-08 20:55
Domain name, Website & Hosting service ...
wealthonline 28-12-08 20:32

Total Members
total 21937 registered
female 5430 female
male 16428 male
month 143 new this month
New: mtizoo
Who's Online Now
We have 46 guests online and 12 members online
Bongo debra side boy phunter gracejohnny suzan naah Assakis Shalia atiy said.ishaaq Tango foxtrot mike
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com