SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register
Latest Shout-Out!
miss z:

hi



Music Corner




Advertisement
Sudoku
sifa's Profile
Personal URL: http://www.bongo5.com/sifa
Hits 3657
Online Status ONLINE
Member Since 17/04/2008 16:06:12
Last Online 04/12/2008 10:39:18
Last Updated 30/10/2008 10:47:46
sifa
City: dar es salaam
Hometown: sinza
Country - Nchi: Tanzania
Gender - Jinsia: Female
Age - Umri: 18 to 23
Relationship Status: Not Looking
Drinker - Mnywaji?: No
Smoker - Mvutaji?: No
About Me :: Kuhusu Mimi: kawaida
I'd Like to Meet - Ningependa kukutana na: wapenda maendeleo, NOT: sipendi kukutana na watu wapenda majungu.
Interests - Napenda: reading, watching tv, cooking, sleeping and travelling
My Photos & Videos

Only Registered Members Allowed to view the Photos in this Gallery!
Not a member yet? Click here to register now, its easy & free!




My Photo Albums

My Videos
Profile Visitors
The last 10 profile visitors
 
PhotoNameTime
   my rachel  Date: 02-12-08 Time:10:37 
   mikingamo  Date: 02-12-08 Time:09:24 
   benmugashe  Date: 02-12-08 Time:09:13 
   DONIZ  Date: 01-12-08 Time:17:47 
   stella bady  Date: 01-12-08 Time:17:35 
   8figure  Date: 01-12-08 Time:16:04 
   GAUCHO  Date: 01-12-08 Time:12:44 
   MaryAnn  Date: 01-12-08 Time:12:08 
   debra  Date: 01-12-08 Time:11:23 
   Manteeq  Date: 27-11-08 Time:16:08 
 
My Guestbook

Name Entry
my rachel
Created On: 02/12/2008 10:40:39

me nishapima nashangaa we bado upo upo jirani.......

benmugashe
Created On: 02/12/2008 09:16:37

Thanks for Good message, we real need to be careful maana takwimu zinasema wanawake 8%mnaishi mjini mmeathirika na wanaume 5% pia... according to government

stella bady
Created On: 01/12/2008 17:37:13

hi, mambo?

DONIZ
Created On: 01/12/2008 16:41:56

yeah cfa kama kawa..2napigana na huyu adui...ukimwi kwa kwenda mbele..uaminifu na ukweli ndio bunduki yake..aiiiyt.take care ucje potea.

8figure
Created On: 01/12/2008 16:19:06

TANZANIA BILA UKIMWI INAWEZEKANA NA INAANZA NA WEWE AMBAYE BADO UPO UPO SANA!!

GAUCHO
Created On: 01/12/2008 12:46:01

asante sana kwa ujumbe wako wa kunyumba nashukuru nimekusikia,siku njema iwe kwako pia take care!

MaryAnn
Created On: 01/12/2008 12:14:33

duh..haya mwanaaa...ubarikiwe na LORD.

debra
Created On: 01/12/2008 11:24:29

Hhaahahaaa mi ni VAAAAAAAAAAA
Mweh sante kwa reminder!
One love my mdogo!!


GAUCHO
Created On: 14/11/2008 14:43:21

wa kunyumbaa,upo?

nasir
Created On: 14/11/2008 13:58:16

hey vipi mambo wangu nimepita kukupa hii wangu

debra
Created On: 14/11/2008 11:47:11

Ivii weee ukwapi??
Sikuja nilikuwa na bukta fupi umeona ehh tulipokua??Ustake kujua tulikua wapi viti vinebaki venyewe ahayakuhusu mdogoangu mie mkubwa mie!
Nimekumiss mweh!!


debra
Created On: 12/11/2008 11:42:37

Mweeh ukwapi weye?
Nimekumiss kikenya mai mdogo!!
Haya ntakuvutia waya muda si mrefu ivooo ujue!
PamoJAH!
Ngaisari kenda kutembea!


pollymagy
Created On: 06/11/2008 15:09:06

mafitu kama makeki au uyoga

debra
Created On: 31/10/2008 10:49:23

Mdogoangu unewaona sojaa hao??
Ukwapi weye??
Nimekukosa mweh!


nasir
Created On: 30/10/2008 10:42:16

hey vipi mambo wangu nimekumiss sana nimekuja kukupa hii wangu ila unanitamanisha na hizo keki wangu

<< Start < Prev [1] 2 3 4 5 6 7 8 9 ... 18 Next > End >>

My friends
OFFLINE oscarparison
OFFLINE Ngweno
OFFLINE mlavitu flan flan
OFFLINE fonser
OFFLINE miti
OFFLINE stella bady
OFFLINE benmugashe
OFFLINE automaticciera@aol.com
OFFLINE kayaman3
OFFLINE safari985
OFFLINE lion_wh
OFFLINE Lonely Shirima
OFFLINE woozgan
OFFLINE Ruge5
OFFLINE g_thedon
OFFLINE diamond
OFFLINE koolz
OFFLINE TOBOATOBO
 
<< Start < Prev [1] 2 Next > End >>
Sasa zamu ya Mramba, Yona
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ilipanda joto baada ya mawaziri wa zamani wawili Bw. Basil Mramba na Bw. Daniel Yona, kufikishwa hapo, wakituhumiwa kutumia vibaya madaraka yao wakiwa mawaziri
Read more...
Odemba aja kishujaa
MSHINDI wa pili wa mashindano ya Miss Earth, Miriam Odemba jana alipokelewa kwa vishindo aliporejea kutoka nchini Philipines alipokwenda kushiriki mashindano hayo
Read more...
Fat Joe na Eve - Funga Mwaka 2008
Mwanamuziki wa hip hop Fat Joe na mwanadada mwingine machachari sana katika anga za kufoka foka aitwaye Eve na mwingine wa tatu (jina kapuni) watatua jijini Dar Desemba 8 kwa ajili ya kuangusha bonge la shoo
Read more...
TID Apewa Siku 10
Msanii wa muziki wa kizazi kipya anayetumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, TID ametakiwa kutoa taarifa ya kusudio la kukata rufaa katika Mahakama Kuu. TID anatakiwa kutoa taarifa za kusudio lake hilo ndani ya siku 10 kuanzia jana
Read more...
Mramba, Yona Bado Wapo Rumande

SIKU ya kwanza walipewa masharti magumu ya dhamana; baadaye wakakata rufaa na kushinda, lakini hawakutoka gerezani na Ijumaa kulikuwa na kasoro kwenye hati zao za mali.Jana Hakimu aligoma kushughulikia dhamana kwa kutokuwepo kibali cha Mahakama.


Tanzania Waweka Alama Silaha

TANZANIA imeanza kuweka alama katika silaha zote sambamba na nchi nyingine za Ukanda wa Maziwa Makuu na Pembe ya Afrika.


Albino Aibwa Na kukatwa Mapanga

JITIHADA za Jeshi la Polisi kudhibiti mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, albino, zinahitaji kuongezeka kutokana na kutokoma kwa vitendo hivyo baada ya mwanafunzi mwenye ulemavu huo, Mateso Dunia, 13, kuuawa kikatili na watu wasiojulikana.


Michuano ya U 17 Yasogezwa Mbele

MICHUANO ya Afrika Mashariki na Kati kwa vijana chini ya miaka 17 yamefutwa baada ya Shirikikisho la soka la Afrika Mashariki na kati 'CECAFA' kuandika barua kwa TFF hayotafanyika kutokana na kukosa fedha za kuendeshea mashindano hayo.


Yanga Yatuma Majina CAF

Mabingwa watetezi wa soka wa Tanzania Bara, juzi walituma orodha ya wachezaji wake itakaowatumia katika mashindano ya Klabu Bingwa Afrika. kati ya wachezaji 28, wanne ni wapya waliosajiliwa katika dirisha dogo la usajili.


Latest Members Photos
Upload Photos to your Personal Album
 

Highslide JS
iddy30
2008-12-03

Highslide JS
hans felly
2008-12-03

Highslide JS
goldie
2008-12-03

Highslide JS
Ricdallar
2008-12-02

Upcoming Events
Jamhuri 2008 Frankfurt
Frankfurt - 06.12.2008 | 18.00
WATANZANIA WAISHIO HOUSTON
HOUSTON - 07.12.2008 - 07.12.2008 | 16.00
Re:Kenya's Independence Day Pa...
Amsredam - 12.12.2008 - 13.12.2008 | 10.00
From 20:00 to 05:00 am
Amsterdam - 13.12.2008 - 14.12.2008
Redsan, Chagga and D.J. Pinye ...
Amsredam - 13.12.2008 - 14.12.2008 | 19.00
Re:Redsan,DJ Pinye and Chagga ...
Amsterdam - 13.12.2008 - 14.12.2008 | 20.00
Register now to add your events!!

Your Comments
Fat Joe na Eve - Funga Mwaka 2008
 By: mysalum - Total (2 comments)
Albino Aibwa Na kukatwa Mapanga
 By: debra - Total (1 comment)
Black Rhyno - Vaa Tutoke
 By: miss z - Total (16 comments)
TID Apewa Siku 10
 By: Djpablo - Total (11 comments)
Sasa zamu ya Mramba, Yona
 By: Djpablo - Total (3 comments)
One 2 Five - Besta
 By: hassan mwimbe - Total (19 comments)
Bushoke - Dunia Njia
 By: hassan mwimbe - Total (38 comments)
Watuhumiwa wote kasoro mmoja EPA wa
 By: Kogwe - Total (1 comment)

Latest Forum Entries
48 Laws of power
Mora 03-12-08 13:47
HE IS LOSING HIS MARBLES...
Natty_Bongoman 03-12-08 06:11
HILARIOUS - MLEVI ANA ITCHY 'NUTS'
Natty_Bongoman 03-12-08 06:03
HUYU NI RAFIKI? ... hahahaa
Natty_Bongoman 03-12-08 06:00
PARTY ZA MISITUNI...
Natty_Bongoman 03-12-08 05:54

Total Members
total 21255 registered
female 5279 female
male 15896 male
month 60 new this month
New: kccchi
Who's Online Now
We have 33 guests online and 11 members online
hustlla masamijunior 2chat sifa bello jeny2 ANNANIA PENDEZA mfiraji_1 fmjr85 hans felly vmwita
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com