SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register




 

Results 241 - 270 of 2022
RADIO 100.5 Times FM 'Mguso wa Jamii' imeandaa droo kubwa ya safari ya siku tano ya kuwapeleka washindi watatu kutembelea Hollywood California, Marekani

SERIKALI imewataka wananchi kuchukua tahadhari ya kukabiliana na ugonjwa wa mafua makali ya ndege nchini, kwa sababu ugonjwa huo kwa sasa umeshaingia Juba, kusini mwa Sudan, ambayo inapakana na Uganda na Kenya

SIKU moja baada ya wakili wake J Lewis Madorsky, kuibuka na kutema cheche, Andrew Chenge amesema makachero wa kuchunguza Makosa Makubwa ya Jinai kutoka Uingereza yaani Serious Fraud Office (SFO), ni mahiri na wenye mkono mrefu

HALI ya wasiwasi wa kutokea vurugu jana ilitanda katika ofisi za Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), hali iliyosababisha ofisi hizo kufungwa kwa muda

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi anadaiwa kuingizwa mjini baada ya kudaiwa kununua nyumba hewa eneo la Mikocheni 'B' jijini Dar es Salaam kwa kiasi cha sh. milioni 40

WAKATI walimu wakiishinikiza serikali iwalipe malimbizo ya fedha wanazodai, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imeanza mkakati wa kuboresha maslahi ya watumishi wake, kwa kupendekeza kuwa kila mmoja alipwe posho ya Sh300,000 kwa mwez...

Shangwe la burudani ya kumsaka mkali wa michano ya kibongo inayoshirikisha makundi mawili ya kizazi kipya Wanaume Family na Wanaume Halisi inaendelea. Akiongea mara baada ya burudani hiyo mkoani Arusha, Meneja Masoko wa Tigo Bw Kelvin Twissa ali...

Ujio wake umeashiria ulimwengu wa muziki wa dansi kuwa kuna mashine za ukweli katika muziki huo zilizojificha na bado hazitambuliki, hasa hapa nchini kwetu Tanzania. Huyu si mwingine bali ni Blanchard De Plaizir msanii mwenye vipaji vingi..  

BASI la Rafiki Trans lenye namba za usajili T 473 AMA lilokuwa likisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Masasi juzi liligongana uso kwa uso na lori la mchanga lenye namba za usajili T 951 ACZ na kuua abiria wanne na kujeruhi wengine 23

BAADA ya kupigwa 'stop' na Bunge la Jamhuri ya Muungano kuwasilisha hoja yake binafsi kuhusu mkataba wa kuzalisha umeme kati ya kampuni hewa ya kuzalisha Umeme ya Richmond na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mbunge wa Igunga, Bw. Rostam Aziz (CCM...

SERIKALI imesema aliyekuwa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge anayetuhumiwa kumiliki dola za Marekani 1 milioni (Sh 1.2 bilioni) nje ya nchi, sasa anachunguzwa na vyombo mbalimbali vya kitaifa na kimataifa ili kubaini iwapo ana kesi ya kujibu mahak...

Chama cha Wananchi (CUF), kimetabiri Uchaguzi Mkuu wa 2010 Zanzibar kutawaliwa na maafa, ikiwa mwafaka kati ya chama hicho na CCM, hautatoa suluhisho la maelewano visiwani humo

KATIKA kuadhimisha Sikukuu ya Muungano juzi, watu wanne walifariki dunia, huku wengine wanaoaminika kuwa majambazi walipora Sh milioni 40 katika Kampuni ya Hardison ya Mtaa wa Lindi

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Kahunga mkoani Kigoma, wameulalamikia uongozi wa shule hiyo kuajiri walimu waliohitimu kidato cha nne, wasiopata mafunzo ya ualimu

Kipa wa kuaminika wa klabu ya Ligi Kuu ya England, West Ham, Robert Green anatarajia kushuka Tanzania akiwa na malengo ya kuja kuupanda mlima Kilimanjaro

Baada ya kukithiri kwa baadhi ya wadada wanaotinga na vinguo vifupi vinavyoweza kuwakwaza wengine, Kanisa la Watakatifu Mashahidi wa Uganda lililopo Magomeni Jijini limewapiga 'stop' waumini wa aina hiyo kuhudhuria ibada zake

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) hivi karibuni kimemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuifuta kauli yake ya kuwa Serikali inashindwa kuwachukulia hatua kali za kisheria watuhumiwa wa ufisadi waliojichotea mabilioni ya shilingi

Serikali imewafukuza chuoni wanafunzi 36 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani waliohusika katika vurugu zilizotokea chuoni hapo juzi usiku na kusababisha askari polisi wawili kujeruhiwa miguu

Mwanamke mmoja mkazi wa Mwakibete mkoani Mbeya aliyejulikana kwa jina la Bibi Sikujua John (31) anashikiliwa na Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kuua mwanawe kwa kumnywesha sumu ya panya

Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa George Mkuchika, amewaonya wanazuoni mahiri wa lugha ya Kiswahili na maprofesa kwamba, iwapo lugha za Kiafrika hazitaandikwa zitakuwa katika hatari ya kufa

Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2, Tatiana Durao, kutoka Angola, amewasili nchini leo, kwa ajili ya maonyesho mawili ya mavazi yatakayofanyika Aprili 25, jijini Arusha na kesho yake jijini Dar es Salaam

Naibu Waziri wa Miundombinu Dokta Makongoro Mahanga ametoa kali Bungeni baada ya kusema anajibu swali kwa niaba ya Waziri katika wizara hiyo ambaye ameshaachia ngazi

IMEBAINIKA kuwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekuwa likiendeshwa kwa hasara ya kati ya sh bilioni 107 na bilioni 189 kila mwaka tangu mwaka 2004 hadi kufikia mwaka 2007

MBUNGE wa Vunjo, Aloyce Kimaro (CCM), amewatuhumu Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, mkewe Mama Anna Mkapa na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kuwa walinunua mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira, kwa kificho

Kwa mujibu wa taarifa fupi iliyotolewa na Ikulu, jijini Dar es Salaam jana usiku na kukaririwa na Shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) na baadhi ya vyombo vingine vya habari, Bw. Chenge alimwandikia barua ya kujiuzulu Rais Jakaya Kikwete jana.

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Kapteni mstaafu Ukiwaona Ditopile Mzuzuri (60) amefariki dunia katika Hoteli ya Hilux, iliyopo mkoani Morogoro

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Bw. Reginald Mengi amesema ushirikiano katika kuisaidia jamii hususani watu maskini wasio na uwezo, ni jambo la heshima kwa binadamu na njia bora ya kuuthamini utu wa mwanadamu

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imeomba msaada wa polisi, ili kuwadhibiti makondakta wa daladala wanaopandisha nauli kiholela

Mfanyabiashara maarufu wa visiwani Zanzibar, Bw. Mohammed Raza, ameyaponda maamuzi ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) ya kutaka kuitisha kura ya maoni juu ya serikali ya mseto

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Rais Jakaya Kikwete, amekutana na viongozi mbalimbali duniani kujadili masuala makubwa likiwepo la Zimbabwe na kuchelewa kutangazwa kwa matokeo ya kura za urais

  

Powered by AlphaContent Bongo5.com © 2005-2008 - All rights reserved
Total Members
total 19501 registered
female 4850 female
male 14569 male
month 98 new this month
New: carter
Who's Online Now
We have 20 guests online and 1 member online
nataone
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com