Username
Password
Remember me
Lost Password?
Click here to register
Home
Friends
News
Events
Photos
Music
Videos
Forum
Games
Chat
Results 211 - 240 of 2067
Pinda azuia ufukwe kuuzwa Dar
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amepiga marufuku uamuzi wa Manispaa ya Kinondoni kuuza kwa mfanyabiashara mmoja maarufu eneo la ufukwe la Coco Beach
Mjadala wa Mkapa moto
CCM kimesema kwa sasa hakiwezi kuzungumzia kauli ya Mwenyekiti wa Taifa Mstaafu wa chama hicho, Benjamin Mkapa kwamba si tajiri kama watu wanavyodhani na kwamba anaishi kwa kutegemea pensheni ya Urais
Serikali kutumia fedha zake mwaka huu - Pinda
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, katika bajeti ya mwaka huu, matumizi ya kuiendesha serikali yatatokana na fedha zake bila kutegemea wafadhili
Waraka mzito wa maaskofu kwa JK
MAASKOFU wa makanisa kadhaa kupitia kile wanachokiita Ushirika wa Maaskofu Tanzania, wameandika waraka maalumu wenye ujumbe mkali na mzito kwa serikali, wakitaka kuchukuliwa kwa hatua kubwa ili kulinusuru taifa
JK ateua majaji 7 wanawake
Rais Jakaya Kikwete ameteua majaji 11 wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania, huku 7 kati yao wakiwa wanawake. Taarifa iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Ikulu, Bw. Philemon Luhanjo ilisema uteuzi huo umeanza Mei 24 mwaka huu
Jipya lazuka BOT
Timu iliyoundwa na Raisi dhidi ya kufuatilia pesa zinazodaiwa kuchotwa Benki ya Tanzania BOT kupitia akaunti ya madeni ya nje EPA, ikiwa inaendelea na kazi yake, imekutana na kasheshe jingine jipyaa na safari hii likiwa linadaiwa kuwa baadhi ya fedha...
|
Read more...
De Plaizir amchagua Alikiba Kwa Bongo
Msanii DePlaizer ameweka wazi kuhusiana na hisia zake za kutaka kufaya kazi na wanamuziki wa barani afrika ikiwa ni moja katika malengo yake katika kuunyanyua muziki wa kifrika duniani
Stars yabanwa Taifa
Timu ya Soka ya Taifa, Taifa Stars jana ilitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Timu ya Taifa ya Malawi katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja mpya Dar es Salaam
Kesi ya Zombe…Mahakamani leo
Kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini wilayani Mahenge, inayowakabili maofisa 13 wa Polisi akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Abdallah Zombe inaanza kuunguruma leo
Wazee wa kihehe waja juu na Ballali wao
Baadhi ya wazee wa kabila la Wahehe wamekuja juu na kutoa siku 30 kwa yeyote aliyehusika kwa njia moja ama nyingine na kifo hicho, kujisalimisha kijijini Luganga, Mufindi mkoani Iringa alikozaliwa gavana huyo la sivyo wamedai patakuwa hapatoshi
Zitto atuma waraka kwa JK
HUKUMU ya mahakama kuruhusu watu kugombea nafasi za uongozi kama wagombea binafsi, imemsukuma Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kuchukua hatua zaidi ili kuhakikisha Watanzania wanaifaidi haki hiyo ya kidemokrasia
Serikali: Watanzania Afrika Kusini wako salama
SERIKALI imesema Watanzania wote waishio Afrika Kusini wako salama kufuatia vurugu zilizozuka nchini humo zilizotokana na wenyeji kuwashambulia na kuwaua wageni kutoka nchi zingine
Walioenguliwa CCM kujipanga 2010
Wana CCM waliopanguswa katika chaguzi zilizopita ndani ya chama hicho wakiwemo baadhi ya majeruhi wa 'ajali za kisiasa' zilizotokea hivi karibuni wanadaiwa kuanza mkakati wa kujiweka sawa na kujipanga upya ndani na nje ya chama hicho
Serikali yakanusha kumuua Ballali
SERIKALI imesema haihusiki na kifo cha aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Ballali kama uvumi unaoendelea kuvumishwa na watu mbalimbali kuhusu kifo hicho
Z`bar gizani siku 21
Wataalamu wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) na wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO), jana walikwama kutatua tatizo la ukosefu wa umeme visiwani hapa kutokana na kukosa vitendea kazi
Jay Dee kumuimbia Nelson Mandela
Lady Jay Dee a.k.a Jide antarajia kutumbuiza katika sherehe yakuzaliwa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini mheshimiwa Nelson Mandela ambayo inatarajiwa kufanyika jijini London nchini Uingereza mwezi Juni tarehe 27 mwaka huu
Mike Tyson aja Tanzania
Bingwa wa zamani wa ndondi katika uzito wa juu duniani, Iron Mike Tyson, anatarajiwa kutua nchini Septemba mwaka huu akiambatana na bondia Laila Ali, ambaye ni binti wa nguli wa masumbwi duniani, Muhammed Ali
Mabadiliko makubwa Polisi
JESHI la Polisi nchini limefanya mabadiliko makubwa ya kuwastaafisha kazi askari wake kwa mujibu wa sheria, huku wengine wakibadilishwa vituo vya kazi
Brazil kuleta teknolojia ya mafuta kutoka kwa miwa
Serikali ya Brazil imesema ina nia ya kuleta nchini teknolojia ya kutengeneza mafuta ya mabaki ya miwa yanayoweza kutumika kama mbadala wa petroli. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana
Maambukizi ya ukimwi nchini yapungua
Asilimia 93 ya Watanzania hawajaambukizwa virusi vya ukimwi na kwamba jitihada zaidi zinaelekezwa katika kuwajali asilimia saba ya wale ambao tayari wameshaambukizwa virusi hivyo ili waweze kupata huduma zinazostahili
Ulinzi unahitajika kwa Dada zake Balali
Baadhi ya wakazi jijini Dar es Salaam wameitaka serikali iwapatie ulinzi dada zake na aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT
Mauaji Afrika Kusini: Watanzania wakimbilia polisi
Watanzania wanaoishi nchini Afrika Kusini, wamekimbilia kituo cha polisi cha Jeppe, jijini Johannesburg na sasa wameiomba serikali ya Tanzania iwasaidie waweze kurejea nchini.
Rest In Peace Balali
Aliyekuwa gavana wa Benki Kuu ya Tanzania(BOT) Daudi Balali amefariki dunia mwishoni mwa wiki iliyopita huko nyumbani kwake, Washington DC, nchini Marekani
Kishindo cha Ally Rehmtullah 24 Mei
Mwanamitindo maarufu hapa nchini almaarufu kwa jina la Ally Rehmtullah hivi karibuni anatarajia kuzindua mavazi yake ambayo yanatarajia kujulikana kwa jina la Sex In The Event, linalotarajiwa kufanyika katika hotel ya Kilimanjaro Kempinski
Waachana na muafaka waubiri uchaguzi 2010
Chama cha Wananchi (CUF) kimejibu kauli iliyotolewa na Rais Aman Abeid Karume wa Zanzibar ya kuwapa sharti viongozi wa chama hicho kabla ya kukutana kwenye mazungumzo ya kuleta muafaka wa kisiasa visiwani humo
Seif anitambue Kama Mimi ndio Raisi ndio tujadili Muafaka
Raisi wa Zanzibar Amani Abeid Karume, ametoa masharti ya kukutana na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, kuhusu Muafaka na kumtaka kwanza amtambue kuwa ni Rais halali aliyechaguliwa kwa kura nyingi
Machale yamcheza Kandoro
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Abas Kandoro, amestushwa na "usanii" wa mikataba ya ujenzi wa barabara kadhaa za manispaa za Jiji lake na kueleza kuwa kuanzia sasa ataripoti kwenye Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini
Majambazi watumia mabomu kupora abiria
Kundi la watu wasiozidi 15 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za kivita, wamevamia basi moja la abiria kulilipua kwa mabomu na na kusababisha vifo vya watu wawili papo hapo
Kipanya chaua saba
WATU saba wamekufa papo hapo na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali mbaya ya basi dogo aina ya Toyota Hiace ‘kipanya’, lililokuwa likisafiri kutoka Tukuyu mjini, Wilaya ya Rungwe kuelekea Kyela
Vigogo wa CUF, NLD nusura watwangane
Mtafaruku mkubwa uliibuka juzi katika hoteli ya Bwawani, visiwani Zanzibar baada ya baadhi ya viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) na NLD kutaka kutwangana wakati wa kikao
<< Start
< Prev
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Next >
End >>
[ Back ]
Top
Powered by
AlphaContent
Bongo5.com
© 2005-2008 - All rights reserved
Total Members
20276 registered
5045 female
15149 male
273 new this month
New:
mkapa
Who's Online Now
We have 13 guests online and 2 members online
Bongo
carlz
Total of members in the chatroom:
Home
|
Search
|
Contact Us
|
Sitemap
2006-2007 © Copyright Bongo5.com