SwahiliEnglish
            Lost Password?    Click here to register




 

Results 1921 - 1950 of 2005
Four Tanzanians athletes arrived here yesterday with high hopes of winning the Standard Chartered Mumbai Marathon titles tomorrow.

MASHINDANO ya mpira wa miguu ya Copa Coca-Cola yanatarajiwa kuanza leo katika viwanja tofauti vya kanda kwa kushirikisha timu za ngazi ya wilaya.

KUREJEA kwa Kocha Mkuu wa timu ya Simba, Mbrazil Neider dos Santos, kumebaki kitendawili, kwani licha ya kuelezwa angerejea Januari 15, hadi sasa hakuna jibu sahihi.

KUNDI la muziki wa kizazi kipya la TMK Wanaume au Wanaume Family lenye maskani yake Temeke, Dar es Salaam, leo litatambulisha wimbo wake mpya uitwao Kazi Ipo. [Listen to the track here]

Msichana anayeaminika kuwa na mvuto kuliko mabinti wengi tu hapa jijini na anayesifika kwa kuyakata masebene kwa umahiri wa hali ya juu bi Aisha Madinda, hivi karibuni amefikia uamuzi wa kwenda shule kwa ajili ya kujipatia ujuzi wa ziada..

Msanii Lady jay Dee ameweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika mashariki na kati kwenda kufanya Show nchini Urusi katika mji wa Moscow, ilikuwa ni kwenye mwaliko maalum ulioandaliwa na ubalozi wa Tanzania nchini humo..

‘Unajua kama ni kupata mafanikio katika muziki kupitia mgongo wa Kaka yangu naamini ningekuwa mbali sana, lakini kusema ukweli hakuna msaada ninanoupata, kila ninachokifanya kwenye sanaa ni kwa jitihada zangu binafsi'-Black Rhyno.

Mh!? hii nayo kali, msanii Bushoke amekimbilia nchini Afrika Kusini baada ya kuona hakieleweki kuhusu albam yake ambayo ameikamilisha na kuifikisha ubaoni kwa wadosi ambao walishindwa kufikia muafaka katika suala la mkwanja.

Si mashabiki wote wanaofahamu kuhusiana na mwanahipho Joh Makini anakotokea na sababu zipi zinazomfanya akomae kwa kunadi mkoa anaotokea katika kila tungo zake.

TANZANIA 'S Tina Korosso and Nakaaya Sumari have been put under probation alongside two other contenstants as the Vodacom Tusker Project Fame reality television show enters its fourth week.

KUNDI la muziki wa kizazi kipya la TMK Wanaume au Wanaume Family lenye maskani yake Temeke, Dar es Salaam limesambaratika. Kutokana na hali hiyo unaweza kuchagua neno la kutumia kuhusu hali ilivyo ndani ya kundi hilo.

WAWAKILISHI wanne wa Tanzania katika shindano la Vodacom Tusker Project Fame, wanatarajiwa kuondoka leo kwenda Nairobi, Kenya kwa ajili ya maandalizi ya shindano hilo litakalowahusisha pia washiriki kutoka nchi za Uganda na Kenya.

Msanii Rado ambaye hapo miaka ya nyuma aliwahi kutamba na singo yake ‘hukumu ya ndotoni' hivi sasa ametoka na singo yake mpya ambayo ndani yake amewadiss wasanii kama Fid Q na Kundi zima la East Coast inayokwenda kwa jina la ‘usiulize...

“Najua kitu wanachopenda watu wangu na hivi ndio sababu zilizopelekea nisisite kuachia jiwe langu ‘mikasika” ni maneno yake mteule Mox a.k.a Mchizi, ambaye safari hii ametokea katika studio za Baucha Records.

Si wote wanaofahamu kuwa msanii Loon kutoka Nchini Marekani alipokuwa nchini Tanzania alifanya mkono kwa kushirikiana na msanii Ibra Da Hustle wa kundi la Nako 2 Nako na Prodyuza Ambros wa Mandugu Digital.

MISS Vodacom Tanzania Wema Sepetu has finally broken her silence and cited racism as the main reason why she performed dismally in the Miss World beauty pageant held in Poland recently.

VISITING US rapper Shawn Carter alias Jay Z on Wednesday night gave Tanzanians a show to remember when he performed at the Diamond Jubilee hall in Dar es Salaam.

THE eagerly awaited show by the American hip hop superstar Shawn Corey Carter alias 'Jay-Z' takes place today at the Diamond Jubilee hall in Dar es Salaam.

Ni msanii pekee ambaye amechelewa kutoa albam yake ambayo imekuwa ikisubiriwa sana na mashabiki wa muziki kizazi kipya, Fid Fareed Q ama Fid Q au Ngosha The Don kama wengi ambavyo wamekuwa wakimuita.

Ndoto ya Watanzania kuendelea kutamba katika mashindano ya kumsaka mrembo wa Dunia, 'Miss World 2006' juzi usiku ilipotea baada ya Wema Sepetu kuangukia pua katika kinyang'anyiro hicho kilichofanyika Warsal, Poland.

Msanii CP ambaye anatamba na kibao chake ‘6 in the Morning' hivi karibuni alionekana akipiga misele katika viwanja vya mawingu studio, jambo ambalo lilimfanya muandishi wa habari hizi atake kujua kulikoni.

“Kiingereza hakikuwa tatizo kwangu kwani nimeanza kuongea lugha hiyo tangu nikiwa mtoto mdogo iweje leo nionekane sijui wakati hata kwenye shindano la kumtafuta mrembo wa Temeke niliongea kiingereza?.

Baadhi ya Video za muziki ambazo hivi karibuni zimezua sokomoko kwenye vituo vya televisheni, zimefungiwa kuonyeshwa.

Mad Ice started his own radioshow Helsinki Bomba Drive on KSL Radio Rainbow 100,3 MHZ, in Finland.

Stara Thomas, singer and longtime favourite in the Tanzanian music biz, is preparing a new track called Life So Simple, featuring Bongo Flava heavyweight Professor Jay.

Bongo Flava hit group TMK Wanaume is getting ready to tour Tanzania with three new albums from three different group members.

Msanii aliye makini ktk miondoko hii ya Bongo Flava kutoka kundi kongwe la 'Wateule',Jay Moe a.k.a 'Moe Tekniks' a.k.a 'Mawazo' amekamilisha albam yake ya tatu itakayokwenda kwa jina la 'Kimya Kimya'.

Msanii nyota Bizman, amekata utepe kwa wasanii wa Tanzania kuingia katika shindano la wimbo bora wa BBC, lililoanza Julai Mosi mwaka huu.

AFRICAN Jazz icon and grandfather, Hugh Masekela , jets into Uganda in September for a noble cause, to jazz-up a fundraising concert for disabled children.

Msanii Prof Jay ambaye hivi juzi juzi tu alikamata award za Kilimanjaro kutokana na songi lake 'Nikusaidieje'..mwishoni mwa wiki ameweza kukaa tena kwenye matawi ya juuu kabisa baada ya kutia kwapani award nyingine

  

Powered by AlphaContent Bongo5.com © 2005-2008 - All rights reserved
Total Members
total 19349 registered
female 4821 female
male 14446 male
month 667 new this month
New: surea
Who's Online Now
We have 34 guests online and 15 members online
Lonely Shirima GAUCHO Carmelo my rachel halfa k nyaksy mikingamo BUDDY big5 Rashid10 grory mimi_19 faddymbongo arsnal makireu
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com