SwahiliEnglish
            Lost Password?    Bofya hapa kujiunga
 

Matokeo 1 - 30 ya 2064
Mlezi wa chama cha michezo ya jadi mkoa wa Dar Es Salaam ambaye pia ni makamu wa pili wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu Mh.Rashid Mfaume Kawawa (Simba wa Vita),atawaongoza  waaalikwa mbalimbali,wapenzi na washabiki wa mchezo wa bao katika viwa...

Tamasha la Filamu za Ulaya European Film Festival limeanza rasmi kuonyesha filamu siku ya ijumaa katika ukumbi wa New World Cinema.

Baada ya timu ya soka ya taifa, Taifa Stars juzi kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Cape Verde juzi, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Marcio Maximo amesema kuwa sasa anaamini kikosi chake kimekuwa bora.

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana walikuwa wakishangilia kwenye mitaa mingi ya mjini Tarime, huku polisi wakitumia mabomu ya machozi kuwatawanya baada ya matokeo ya ubunge na udiwani kuanza kupatikana kutoka vituoni.

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Kesho inajitupa dimbani katika uwanja mkuu wa Taifa kupambana na timu ya taifa ya Cape Verde katika mpambano wa kukamilisha ratiba ya kugombania tiketi ya kombe la dunia na mataifa ya Afrika yanayotarajiwa kufany...

Wafuasi wanaoa minika kuwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamewapiga na mmoja wao kuwakata kwa mapanga vijana wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mjini hapa.

Producer nguli wa muziki hapa bongo aliyetambulika kwa jina la Roy Bukuku aka Roy wa G Records, amefariki dunia jana. Ndugu huyu hatunaye tena baada ya kuugua homa ya mapafu huko Mkoani Mbeya alikozaliwa

MSANII maarufu wa Uganda, Jose Chameleon amejirusha kutoka ghorofa ya tatu ya Hoteli ya Impala mjini Arusha na kusababisha kuumia vibaya ikiwa ni pamoja na kuvunjika miguu yote

ZIKIWA zimesalia siku sita kabla ya kupiga kura Oktoba 12 mwaka huu, hali ya wasiwasi na mshtuko imewakumba mamia ya wapiga kura kutokana na baadhi yao kutokuwamo kwenye orodha ya watu wanaotakiwa kupiga kura

Baadhi ya watoto walionusurika kifo katika ukumbi wa Bubbles Night Club katika Sikukuu ya Idi mjni hapa, wamesema kuwa watoto waliokuwemo ndani ya ukumbi walikuwa zaidi ya 1500

Wadau wote wa Bongo5 nachukua nafasi hii kuwatakia Eid Mubarak popote mlipo duniani. Naomba tuendelee kuwa pamoja na pia tuendeleze yote yaliyo mema katika siku za maisha yetu.

Msanii wa sanaa ya maigizo na muziki Rashidi Mazingi ambaye anajulikana zaidi kama Kingwendu amepata show mbili jijini Nairobi na Mombasa nchini Kenya

Juhudi za Wataalamu wa umeme kutoka marekani zimefanikisha kutengemaa kwa mtambo mmoja kati ya mitatu ya kuzalisha umeme wa megawati 40 amabyo iliharibika katikakati ya wiki iliyopita

Askari polisi anayeaminika kuwa wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), kutoka mkoani Arusha, Emmanuel Zakaria, amekamatwa wakati akinunua kadi za uanachama katika ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Pius Msekwa, ameshangaa madai ya Jaji Joseph Warioba kwamba vikao vya chama hicho vimejaa visasi na kukomoana na kumtaka aache kile alichokiita `usongombwingo`.

MLIMA Kilimanjaro umesababisha mzozo miongoni mwa Watanzania na Wakenya wanaoshiriki mafunzo ya utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa, mjini Milwaukee

BARA la Afrika limeziambia nchi tajiri duniani, kuwa hatua zozote za kuongeza rasilimali zake kwa maendeleo ya Afrika si hisani, bali ni wajibu wa kihistoria na ulazima wa kiroho kwa nchi hizo kufanya hivyo

Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, anatarajiwa kuwasili nchini leo kwa ziara ya kiserikali ya siku tatu. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, jana jijini Dar es Salaam

Tanzania kama Taifa lenye dola kamili litatikisika na kudhalilika mno machoni pa wananchi wake na katika jumuiya ya kimataifa, iwapo matajiri waliogushi na kuiba fedha za EPA hawatafikishwa mahakamani

Mshiriki wa Tanzania kwenye Shindano la Big Brother III, Latoya Lyakurwa amekuwa mtu wa kwanza kutolewa katika mchuano huo unaoendelea nchini Afrika Kusini

Msani wa muziki wa kizazi kipya kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Amani James Temba a.k.a Mheshimiwa Temba anatarajia kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu

UJENZI wa daraja linalounganisha nchi za Tanzania na Msumbiji ambalo linaendelea kujengwa katika eneo la Mtambaswala, Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara, utakamilika Novemba 2009

RAIS Thabo Mbeki wa Afrika Kusini amekubali kujiuzulu, baada ya Kamati Kuu ya Chama cha African National Congress (ANC) nchini humo kumtaka aachie madaraka ya urais kabla ya kumalizika muda wake mwakani

UBALOZI mdogo wa Uingereza nchini unatarajia kufungwa Visiwani Zanzibar hivi karibuni kutokana na nchi hiyo kukabiliwa na ukata

WAKATI CHADEMA kimeadhimisha mwaka mmoja, tangu kitangaze orodha ya majina ya vigogo 11 wanaotuhumiwa kwa ufisadi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Gray Mgonja, mmoja wa watu waliotajwa katika orodha hiyo, amewataka waandishi wa habari wamwache na u...

ZIMBABWE imefungua ukurasa mpya wa kihistoria, baada ya kutiwa saini makubaliano yatakayowezesha kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa

WATAZAMAJI wa shindano la Big Brother 3 linalofanyika nchini Afrika Kusini, jana walianza kupiga kura ya kuchagua mshiriki atakayerudishwa katika jumba hilo, kutoka katika 'shimo la taka'

Samaki mkubwa wa kihistoria duniani ambaye alikuwa amepotea zaidi ya miaka milioni 65 ameibuka juzi katika Kisiwa cha Nyuli, Pwani ya Tanga na kuvuliwa na wavuvi wa eneo la Sahare Jijini hapa

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Dar es Salaam, Janeth Kahama, amedai kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Sophia Simba, alimrushia makonde kwenye kikao cha Kamati ya Siasa

VIFO vya Watanzania wawili waliouawa nchini Afrika Kusini na kuzikwa Zanzibar juzi, vimezidi kuleta utata baada ya taarifa kudai kwamba vifo hivyo havikutokana na mapigano ya kufukuza wageni nchini kama walivyodai ndugu wa marehemu

<< Mwanzo < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > Mwisho >>
  

Powered by AlphaContent Bongo5.com © 2005-2008 - All rights reserved
Total Members
total 20238 wanachama
female 5034 female
male 15122 male
month 235 mwezi huu
Mpya: uncle g
Who's Online Now
We have 39 guests online and 5 members online
PKJ MaryAnn FESKAM aliciak2 babas
Bongo5 Chat Zone 2.0
Total of members in the chatroom:
2006-2007 © Copyright Bongo5.com