Username
Password
Remember me
Lost Password?
Click here to register
Home
Friends
News
Events
Photos
Music
Videos
Forum
Games
Chat
Results 1 - 30 of 2022
Nape Vs Lowassa
SUALA la utata katika mradi wa ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), ni miongoni mwa ajenda zinazotarajiwa kuwasha moto mkali wa hoja wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo
Malodi Manchester City we acha tu
VIBOPA wapya wa timu ya Manchester City ya Uingereza ambao wanatoka Falme za Kiarabu wamesema wanafikiria kumlipa paundi milioni 135, ambazo ni sawa na dola milioni 210 mshambualiji wa Manchester United, Cristiano Ronaldo
Latoya akumbuka nyumbani, simu yake
Siku 11 tu kwa washiriki wa Big Brother Africa III, ndani ya jumba hilo, Mshiriki kutoka Tanzania, Latoya Lyakurwa (Latoya) ameikumbuka simu yake. Utaratibu wa Big Brother Africa, mshiriki haruhusiwi kuingia na simu
Ras Nas ndani ya BBC 'The Beat'
Msanii mkongwe wa muziki wa reggae na muziki wa dansi, Ras Nas au Nasibu Mwanukuzi, amefanya mahojiano na BBC prizenta Laura Hubber wa kipindi maarufu cha 'The Beat'
Wasabato Masalia watimuliwa tena uwanja wa ndege
KUNDI la Wasabato Masalia, kwa mara ya tatu limesambaratishwa na askari wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, baada ya kurudi tena uwanjani hapo huku wakiwa wameongezeka idadi yao kutoka 17 hadi kufikia 51
Aliyekamatwa na FBI kwa Ugaidi arejeshwa
MTANZANIA aliyekamatwa namakachero wa Marekani kwa kuhusishwa na ugaidi, Suleiman Abdallah Salim, amerudishwa Zanzibar juzi na Shirika la Msalaba Mwekundu kutoka Afghanistan baada ya kubainika kwamba si gaidi
Bendera Ataka Stars Kukaza Buti
Wachezaji wa timu ya soka ya taifa,Taifa Stars wametakiwa kushinda mchezo dhidi ya Mauritius utakaofanyika mwishoni mwa wiki hii mjini Mauritius ili kujenga heshima ya nchi na kupanda kwenye chati za viwango vya soka vya Fifa.
Nyota wa Basketball kuzuru Tanzania
RAIS Jakaya Kikwete ambaye alikuwa ziarani nchini Marekani na kuwasihi wachezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini humo waitembelee Tanzania na kusaidia kutoa elimu ya mchezo huo amefanikiwa baada ya baadhi ya wachezaji nyota wa mchezo huo kutarajiwa...
|
Read more...
Benki ya Dunia yastukia usiri Mikataba ya Madini TZ
BENKI ya Dunia (WB) imesema usiri katika mikataba ya madini nchini ni chanzo cha rushwa na manung'uniko ya wananchi dhidi serikali yao.
Raia Nigeria Wamchangia Obama
KATIKA hali inayojionyesha kuwa Waafrika wamezidiwa na utashi wa kupindukia na kuonyesha mapenzi kwa mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya Chama cha Democrats, Barack Obama, raia kadhaa wa Nigeria wamemchangia kiasi cha Naira 74 milioni (sawa na ...
|
Read more...
Zombe Ajitetea
Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini na dereva teksi mmoja, aliyekuwa Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam,wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, Abdallah Zombe, ameiomba Mahakama Kuu kuamuru zipelekwe sila...
|
Read more...
Vigogo Wa Epa Wakata Rufaa
BAADHI ya vigogo wa Benki Kuu (BoT) wanaotajwa kuhusika katika ufisadi wa zaidi ya Sh133 bilioni katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), wameanza kukata rufaa katika Jopo Maalumu la Kamati ya Nidhamu kupinga tuhuma na adhabu dhidi yao.
Rais Kikwete Kuwa Mgeni Rasmi Siku Ya Wahandisi
Siku ya wahandisi Duniani inatarajiwa kuadhimishwa tarerhe 4 na 5 mwezi huu katika Hotel ya Kunduchi Beach huku mgeni rasmi katika siku hiyo akitarajiwa kuwa Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Koli Koli Aula NBA
Mwananfunzi wa kidato cha sita katika shule ya sekondari Loyola Martin Wilbert Kolikoli mwenye umri wa miaka () amechaguliwa kuwa mmoja wa vijana wataohudhuria mafunzo ya wiki moja ya mchezo wa kikapu yanayokwenda kwa jina la “Basketball ...
|
Read more...
P-Square Wapagawisha Bongo
Umati wa wakazi wa jiji la Dar es salaam na vitongoji vyake pamoja na wakazi wengine wa nchi hii usiku wa kuamkia jumapili waliburudika na shoo ya kufa mtu kutoka kwa vijana mapacha wanaotokea jijini Abuja nchini Nigeria
Asha Baraka Ageuka Mama Ntilie Leaders
Mkurugenzi wa kampuni ambayo inamiliki bendi mbili za Afican Stars na Vibration Sound siku ya jumapili aligeuka kuwa mama nitilie pale ambapo alionekana kuwa bize kwa kupakuwa na kugawa vyakula kwa waandishi na washabiki mbalimbali
Lusajo Aibuka Mkali Wa Free Style
Hatimaye tuna bingwa wa Free Style! Baada ya kuwafunika wakali wenzake Lusajo amejinyakulia taji hilo. Mchuano huo mkali uliodumu kwa takribani mwezi mmoja wa kumtafuta makali wa freestyle ulifikia tamati mwishoni mwa wiki iliopit
Tifu la Richmond leo
Serikali leo, inakabiliwa na mtihani mgumu wa kuonesha ina msimamo katika masuala ya msingi, wakati Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, atakaposimama Bungeni kutoa ripoti ya utekelezaji wa serikali juu ya kashfa ya Richmond
Reginald Mengi apasua jipu
MFANYABIASHARA maarufu nchini na Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi, ameibuka na kushambulia kundi la mafisadi
Walioshiriki olimpiki warejea na visingizio
TIMU ya Tanzania iliyoshiriki michezo ya olimpiki mwaka huu, ilirejea nchini jana na kueleza sababu ya kurejea mikono mitupu ni maandalizi duni.
Will Smith ndani ya Bongo!
Mwigizaji na mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani Will Smith yupo nchini Tanzania, leo ametoka mjini Bagamoyo ambako alitoa msaada wa vyandarua katika hospitali ya wilaya ya Bagamoyo.
RAFDA waanza kusaka wabunifu
Uhamasishaji wa RAFDA Mwanza na Arusha uliofanyika wiki hii uliendelea vizuri. Mwanza imeonyesha mwamko zaidi kwani wabunifu walijitokeza kwa wingi zaidi wengi wao wakiwa wana ujuzi wa fani hii kwani tayari wana majina makubwa kwenye ulimwengu wa fas...
|
Read more...
Latoya atuwakilisha Big Brother Africa 3
Latoya ndio mwakilishi wetu huko nchini Afrika Kusini katika lile shindano maarufu lijulikanalo kwa jina la Big Brother Africa III.
Wabunge wazuiwa kumjadili Kikwete
SHAUKU ya wabunge kuichambua hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa bungeni wiki iliyopita imekwama, baada ya uamuzi wa kuijadili kuzuiwa kwa sasa
Richmond: Wote hawa `out`
Kuna taarifa kuwa vigogo kadhaa ambao walihusishwa na sakata la mkataba `bomu` wa kufua umeme wa dharura wa Richmond, watatupwa nje ikiwa ni hatua ya kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na Kamati Teule ya Bunge iliyoundwa kuchunguza sakata hilo
Rais Mwanawasa afariki dunia
Rais Levy Mwanawasa wa Zambia (59) amefariki dunia katika hospitali moja mjini Paris, Ufaransa alikokuwa amelazwa baada ya kupatwa na kiharusi Juni mwaka huu.
Ze Comedy wabwagwa kortini
Mahakama Kuu Kitengo cha biashara, jana ilitupilia mbali ombi la kundi la Ze Comedy kutaka mahakama hiyo itoe idhini ya wao kuendelea na kazi zao kwa kutumia jina hilo wakati kesi ya msingi ikiendelea
Wanajeshi kusafiri bure kwenye daladala
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi, amefuta tamko la kuwataka wanajeshi waliovaa sare kulipa nauli katika vyombo vya usafiri mijini, kwa kuwa halikuwa na baraka za uongozi wa juu wa wizara yake
EPA kumekucha
Rais Jakaya Kikwete amekabidhiwa ripoti ya uchunguzi wa upotevu Sh. bilioni 133 katika Akaunti ya Malipo ya Nje (EPA) ndani ya BoT na anatarajiwa kuitolea maamuzi siku chache zijazo
Mkapa amfunika Rais Kikwete kiutendaji
RIPOTI ya utafiti wa hali ya kisiasa nchini iliyotolewa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania (Redet) imeonyesha kuwa Benjamin Mkapa alifanikiwa zaidi kiuntendaji katika miaka kumi yake ya uongozi kuliko miaka miwili ya Rais Jakaya ...
|
Read more...
<< Start
< Prev
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Next >
End >>
[ Back ]
Top
Powered by
AlphaContent
Bongo5.com
© 2005-2008 - All rights reserved
Total Members
19501 registered
4850 female
14569 male
98 new this month
New:
carter
Who's Online Now
We have 16 guests online and 3 members online
zeed
automaticciera@aol.com
mdaku
Total of members in the chatroom:
Home
|
Search
|
Contact Us
|
Sitemap
2006-2007 © Copyright Bongo5.com