Burudani
Common na John Legend watajwa kuwania tuzo za Oscar
Common na John Legend wanaendelea kung’ara.
Baada ya kushinda tuzo za Golden Globe, rapper na muimbaji huyo wametajwa kuwania tuzo za Oscar zijulikanazo pia kama Academy Awards.
Wimbo wao ‘Glory’ uliotumika kwenye filamu ya Selma umetajwa kuwania kipengele cha Original Song. Majina hayo yalitangazwa Alhamis hii.