Burudani

Colonel adai amekutana kimwili na Huddah mara 50 ndani ya wiki mbili

Staa wa muziki kutoka nchini Kenya, Colonel Mustafa amedai kuwa amesha fanya mapenzi na Huddah Monroe zaidi ya mara 50 kwa penzi lililodumu kwa muda wa wiki mbili pekee.
Bgaa6uhIgAA4Drv1

Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television Ijumaa hii, Colonel alizungumzia uhusiano wake na Huddah Monroe.

“Nilikuwa na mahusiano na Huddah, tuli sex hata mara 50. Huddah she’s fine kitandani, Nafikiri amepelekwa unyagoni kidogo” Alisema Mustafa.

Hata hivyo, mrembo Huddah aliwai kukanusha kutoka kimapenzi na Colonel huku akidai msanii huyo alikuwa anatafuta kiki kupitia jina lake.

Katika hatua nyingine Mustafa alisema anamkubali Diamond , AY, pamoja na Navy Kenzo na anawish siku moja angefanya kolabo na mmoja kati ya hao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents