Burudani

Collabo ya Beyonce na Rihanna yanukia?

Rihanna na Beyonce huenda wakaachia wimbo wa pamoja hivi karibuni.

page

Mtandao wa Digital Spy umedai kuwa wasilisho kwenye mamlaka ya ASCAP (database ya wasanii watumbuizaji ambapo wasanii na waandishi wa nyimbo wanatakiwa kuwasilisha nyimbo zao nchini Marekani) inaonesha kuwasilishwa wimbo “Blow” wa Beyonce na Rihanna.

AMVCA-Trophy-

Beyonce na Rihanna hawana uhusiano mzuri kutokana na tetesi kuwa Jay Z amewahi kuwa na uhusiano na Riri.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents